Habari
Natafuta mchumba kisha awe mke,
Mi ni kijana nnaye karbia miaka 40,
Nna watoto wawili, kwa mama mmoja nliyeachana nae takriban mwaka na nusu toka sasa.
Nafanya kazi taasisi moja ya Serikali,
Naishi Dodoma kwa sasa baada Serikali kutuhamisha mwaka 2020.
DIni ni Muislam,
Mrefu...