Malezi mengine mpaka najisikia vibaya nikisoma Watu wanavyoishi na watoto wao. Yani mtoto nimwambie fanya kitu flani akatae au nimkataze usifanye kitu flani halafu aendelee kufanya, then nimchekee niseme anamsimamo Hataki. Ninachapa kwa waya wa Redio au mkanda, na nikiongea kitu mara moja...
Unachosema ni sahihi, nimelipia umeme tangu October mpaka leo kimya na umbali wa kutoka kwenye nguzo mpaka nyumbani ni chini ya Mita tano lakini sijaunganishiwa umeme mpaka leo. Niliweka ratiba ya kwenda kila wiki mara mbili kufuatilia lakini majibu yao ni subiri utapigiwa simu mpaka nikaamua...
Mi nimeona pozi 16 kamili.
01: Mikono ameinua juu yote miwili kuna pozi tofauti 4 kwenye miguu.
02: Mikono ipo chini yote miwili kuna pozi 4 tena.
03: Mkono wa kulia ameinua, wa kushoto upo chini kuna pozi 4 tena.
04: Mkono wa kushoto ameinua wa kulia upo chini kuna pozi 4 pia.
NB: Pozi nne...
Ukiunganisha tatu tunaita Hat trick [emoji145], kiutaratibu Demu anapaswa kuacha kyupi kidume akipiga hat trick. Ninazo kyupi Kama dazeni mbili geto. Ni kujizoeza tu, ukishazoea inakua ni utaratibu wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Wagogo wanamatatizo gani. Juzi mmoja analia kwa Mwanamke aliechapwa mpaka na wahuni(Pilipili), mwingine anakazi ya kupiga picha kwenye mahotel na kujisifu(lemutuz) mwingine huku anaropoka kama kalishwa pilipili kichaa, duuh na makao makuu ya nchi yamepelekwa kwao sijui watakuaje sasa.
Sent...
Suluhisho ni kuwagomea hivi Vyama vinavyochukua pesa zenu kila siku bila ya kufanya shughuli yeyote. Mimi ni Mfanyakazi lakini sijajiunga na chama chochote cha Wafanyakazi, na nimeshawashawishi watu watatu kwenye eneo langu la Kazi wamejitoa kwenye hivyo vyama ambavyo havina manufaa yeyote zaidi...
Habari za mchana.
Nina pikipiki yangu Aina ya Piaggio, model ni Gilera runner SP malossi, two stroke engine CC 180. Hii pikipiki inatumia fuel pump na oil pump, zinatumika sana kwa ajili ya mashindano. Miezi km Miwili iliyopita iliua pump ya mafuta Na oil Pamoja Na carburetor yake ikawa ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.