Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,976
Taarifa ni kwamba Tanesco ya Mlandizi ni rushwa tupu hakuna mnachofanya .Ufafanuzi
Mteja mwema na mwenye nia njema anashauriwa kuwa anatoa ushirikiano kwa kuwa bila kufanya hivyo hakuna hatua zinazoweza kuchukuliwa, hata ukienda bank hauwezi kusema sina acc namba angalieni kwenye database, hivyo ni vema wateja wetu mkajenga utamadumi wa kutoa taarifa kamili kwa huduma bora.wakati mwingine tumeshuhudika wengine wakiandika page nzima lalamiko mnamfikia hana tatizo lolote anasema nalalamikia wengine ndio maana tunashauri kutoa taarifa kamili.
Maombi yamejaa kila siku mnasingizia hamna vifaa