eka mbili kila eka milioni mbili.eneo zuri kwa kilimo cha umwagiliaji.au ufugaji wa samaki maana chanzo cha maji huakika.udongo mfinyanzi hauitaji kujengea bwawa
kwa muhitaji ani pm
ina vyumba viwili.sebule.jiko.choo na bafu.ina fensi.kodi laki mbili kwa mwenzi.kodi ya mienzi 6
0746316028.picha network inasumbua kuapload ikikaa sawa ntaweka
Kama una redio na wewe fungulia yako kwa sauti hiyo hiyo.dawa ya moto ni moto.anakufanyia kusudi.huenda ukiwa haupo sauti anaweka ndogo kbsa yakusikiliza mwenyewe
songea nyumba za kulala salama nyingi sana watu wakule wakarimu mno.alafu kwenye budget yako elfu hamsini kwa kulala kubwa sana ukiwa na 15 au 20 unalala kwenye bonge la lodge yani safi kbsa .maisha ya kule rahisi sana.mvua kusini hakuna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.