Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,599
- 6,670
Picha hizi ni kwa hisani ya RSA mmoja ambaye ameona kasoro hii ya tairi na kutoa tahadhari kwa wasafiri. Basi lilikuwa limeegesha Ubungo Stand na linaelekea Arusha.
Usikubali kuhatarisha maisha yako; ukiweza kukagua basi unalokaribia kupanda ni jambo la maana katika kuulinda uhai wako. Uhai ukitoweka haurudi!


Usikubali kuhatarisha maisha yako; ukiweza kukagua basi unalokaribia kupanda ni jambo la maana katika kuulinda uhai wako. Uhai ukitoweka haurudi!