Kazi kweli kweli yaani hamjaona na hamtaki kujadili hoja za msingi kama wastaafu kutopata stahiki zao kwa wakati,utumbuaji wenye mwelekeo wa uonevu ,kesi nyingi za kusingizia uhujumu uchumi,utakatishaji pesa nk mnajadili vioja vya idadi ya members..??!!
Kwa hii double standard kiongozi wa kariba ya Lissu ndio mwarobaini hatutaki kumwachia MUNGU,kulialia au kulalamika tena ni jino kwa jino mpaka tutaelewana tu .
Kauli hatari kwa usalama wa nchi au kwa viongozi walio madarakani?
Busara ya fisiemu inakuaga juu sana wkt kama huu hasa wakiona upepo unaelekea kuwakataa,sijui mtapiga tena push up safari hii.Nakumbusha tu miongoni mwa ahadi hewa mlizotupa 2015 ni laptop kwa kila mwalimu nchi nzima,milioni...
ifike wakati tukubali tu mabadiliko ni lazima hayaepukiki big up mtatiro kwa uchambuzi mzuri,ushauri wa bure kwa mzee wetu butiku tunampenda sana atulie kama alivyo sema mwenyewe jana kua baada ya jana hata sema neno tena .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.