Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 11,773
- 9,966
Wewe upo kundi gani mkuu?
Hakuna kipya zaidi ya kuwa High paid slave. wenye elimu ya kawaida na ya kuunga unga ndiyo matajiri wa nchi wasomi na wataalam wao wameandamwa na madeni mpaka kwenye koo. kwa kifupi ni watumwa tu ka watumwa wengine tofauti ni ujira yeye atapokea kikubwa kuliko yule asiyekuwa na elimu.Shikamoo Pesa