Habari kwa yule mwenye uhitaji wa kufundishiwa mbwa mkoani mbeya minipo naujuzi wa kufundisha mbwa ukali anapokuja mwizi,utii kwa boss wake,kumwepusha na sumu, pamoja somo lolote unalohitaji mbwa wako afahamu Nina cheti na uzoefu wa miaka kumi pia naweza kukusaidia ukapata mbwa bora na pia...
Habarini wanajamii forum wenzangu Leo nimekuna naubishana na jamaa Fulani juu ya uwezo wa kukopa Pesa katika taasisi za kifedha hasa hasa katika mabenk kwa dhamana ya kiwanja hivyo naomba kwa mwenye uelewa juu jambo hili naomba anisaidie kuwa naweza kukopa nikaweka dhamana kiwanja chenye hati...
Kinachoniumiza akili ni utumiaji Kwa miaka 20 ijayo watoto wetu itakuwaje maana wakati nakua ukimwi ulikuwa tishio sana na ikisikia MTU anaukimwi ulikuwa unamwonea huruma sana lkn sio kama sasa umekuwa hautishi ingawa bado ni hatari sasa Kwa miaka ijayo utumiaji Wa madawa kama hakutakuwa na...
Kiukweli IPO vizuri ni bia ya kiume ila usipokula utaaibika huku mbeya watu wanazinywa ila in buku mbili popote uendapo ila tumemiss safari ndogo alimaharufu mwendokasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.