Njia rahisi ya kufika kuzimu

Njia rahisi ya kufika kuzimu

Huko kuzimu kuna nini, watu wanachoendea kufanya
 
Pembe ya mbuzi ni ndogo viganja saba vya maji vitatosha? 'Archimedes Principle' inaonesha kua hayo maji hayatatosha kuweza kuyatemea humo mara saba.

Ili niwe na uhakika haya mayai ni ya kuku mweusi itabidi nimfuge mwenyewe, na siyo kwenda kuyanunua na kumuuliza muuza mayai.

Umetoa maelekezo ya kwenda ya kurudi vipi?

Huu uwekezaji una risks nyingi kushinda faida.
We jamaa great thinker kweli hasa hapo kwenye pembe ya mbuzi
 
One day utashindwa kurudi nyie ndio mnatuletea majanga duniani.yaani mtu na akili timamu ukamsalimie shetani! Wa nini.
 
Pembe ya mbuzi ni ndogo viganja saba vya maji vitatosha? 'Archimedes Principle' inaonesha kua hayo maji hayatatosha kuweza kuyatemea humo mara saba.

Ili niwe na uhakika haya mayai ni ya kuku mweusi itabidi nimfuge mwenyewe, na siyo kwenda kuyanunua na kumuuliza muuza mayai.

Umetoa maelekezo ya kwenda ya kurudi vipi?

Huu uwekezaji una risks nyingi kushinda faida.
Kurudi unarudi na air tanzania.
kuhusu uhakika wa mayai meusi, kuna maduka maalum wanao uza vifaa vya kishirikina, hawezi kukudanganya kuwa ni yakuku mweusi kumbe ni mwekundu.
Unajua ujazo wa maji kwa kiganya? na sio kila pembe ya mbuzi yatumika kwa uganga, kuna mijibuzi inapemve bwana.
 
Kurudi unarudi na air tanzania.
kuhusu uhakika wa mayai meusi, kuna maduka maalum wanao uza vifaa vya kishirikina, hawezi kukudanganya kuwa ni yakuku mweusi kumbe ni mwekundu.
Unajua ujazo wa maji kwa kiganya? na sio kila pembe ya mbuzi yatumika kwa uganga, kuna mijibuzi inapemve bwana.
Eh hapo sawa
 
mkuu me naomba njia rahisi ya kwenda marekani. au ufaransa.
 
Nimekupata mkuu haya tupe dawa tuisaidie Yanga isipigwe tena 4 kwa buyu na Azam
 
Back
Top Bottom