Recent content by Bab fei

  1. Bab fei

    Mambo 10 niliyojifunza Zanzibar

    Issue za buza ni kweli?
  2. Bab fei

    Uliwahi kuona nini? Kwenye simu ya mtu, mke au ndugu cha ajabu

    mimi nilikuta demu wangu, kamtumia mshikaji gauni na viatu anavytaka amnunulie. nilikiwasha sanaaaa, kula sanaaa makofiiii mamaeeee, talaka juuu
  3. Bab fei

    Hivi hawa ni Wamasai kweli?

    siasa katika maisha ya watu
  4. Bab fei

    Natafuta mtu wakunipa hifadhi ya Siku 3 Mtwara

    Mimi nipo hp mjini ukifk nichek ntakupeleka sehemu nafuu ya kulala.
  5. Bab fei

    Ushauri juu ya Aga Khan University Tanzania branch

    Wakuu mwenye kufahamu ubora wa elimu wa hiki chuo hasa masters course.
  6. Bab fei

    TANZIA Babu Njenje Mabruk amefariki dunia alfajiri ya leo

    Maharage yako jikoni nimeshayapika nasubiri sukari ya bwana haijafika
  7. Bab fei

    Humphrey Polepole ni nani?

    Niliwahi kusikia ni MA ya development
  8. Bab fei

    Naomba ushauri kuhusu Masters ya Literature ya Chuo Kiuu cha Dar es Salaam

    Naomba ushauri juu ya program hii, Naenda somea UDSM GPA 3.9 undergraduate (BA.ed) Je, ajira nitapata na mbali ya kuwa mkufunzi ni faida ipo nyingne nitaipata yani naweza kuwa employed wapi mbali ya kuwa Lecturer?
Back
Top Bottom