napenda movie
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 521
- 457
ichi inamilikiwa na nani
ichi inamilikiwa na nani
Kwahiyo unasuport yeye kutweet post za namna hiyo mtandaoni?ok,hamna ushahidi je uhalisia ni upi?You can not point a confirmatory finger to anybody! Utahisi, lkn huwezi kuwa na irresistible inference kuwa anamsema fulani. Ndiyo maana wametafuta kumpachika madawa. Wangeliweza kupeleka tweet ile mahakamani, wanajua kuwa kuna mapungufu...
Mbona umefuta attachment?Nadhani amachukuliwa Hatua sitahiki. Pengine atajifunza kujenga hoja kwa Ustadi bila Matusi na Dharau zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhalisia ni hupi,katukana au hajatukana na uhalisia ni upi hata kama hajataja anayemtukana,ujuaji ndiyo unaowaponza na mtaadhibiwa sana msipojirekebisha,kwani mkimueleza mtu mapungufu yake kwa lugha ya staha kuna shida gani hadi mtumie matusi?You can not point a confirmatory finger to anybody! Utahisi, lkn huwezi kuwa na irresistible inference kuwa anamsema fulani. Ndiyo maana wametafuta kumpachika madawa. Wangeliweza kupeleka tweet ile mahakamani, wanajua kuwa kuna mapungufu...
Watanzania wote wanachama wa vyama vyote na wasio wanachama wa chama chochoteichi inamilikiwa na nani
Huwezi kuelezea maisha ya ndani ya mtu wewe ni MWONGO#Pili; Mdude si mtuaji wa pombe wala sigara achilia mbali dawa za kulevya. Jamhuri inaweza kumpima ili kuthibitisha hili. Hanywi hata ‘Serengeti lite’. Mdude ni mwanaharakati ‘sobber’ kuliko wengi wetu tunaofanya harakati. Lakini akishika ‘mic’ sisi ndo hujiona ‘sobber’ kwa jinsi anavyoshusha nondo nzito. Sasa jiulize kama hanywi pombe au havuti sigara, hizo kete za ‘heroine’ alikuwa anazifanyia nini? Kupiga nazo picha aweke instagram?
wengine tunaishi sio wamiliki wa nchi wamiliki tunawafahamu japokua hatutaki kukubali ndo maana tunaumizwaWatanzania wote wanachama wa vyama vyote na wasio wanachama wa chama chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
DahMfanyabiashara wa fedha za kigeni nchini Burundi alitekwa siku mbili zilizopita na maiti yake kuokotwa jana kwenye viunga vya jiji la Bujumbura
Serikali ya nchi hiyo inasema vipimo vinaonesha kafa kwa Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Upuuzi wake ni you mkuuOkay sawa umeandikia ulichokiandika. Sasa unachukua hatua gani?
Yule mpuuzi hata kama hajafanya kosa hilo lakini alichokua anakifanya katika mitandao kilikua kinahatarisha sana Amani ya nchi yetu.
Mtawamaliza siyo ?Mleta uzi nimekuelewa sana
Mambo yafuatayo yanaweza yakapelekea mtu ukaingia kwenye misukosuko na serikali
1. Kukosoa bila staha, unaweka mitusi humo, kejeli humo, uongo humo, huwezi vumilika
2. Unaposhauri upumbavu. kutwa wewe unashauri mambo ambayo kwa mjinga anaweza kuona unaongea points, lakini kumbe ni ushauri uliojaa hila na nia ovu
3. Kuchunguza siri za serikali, unajua kuna kipengele viongozi wa umma huwa wanaapa kuwa hawatatoa siri za serikali, maana yake watafanya juu chini siri isitoke, sasa unapobainika kuchunguza kwa nia ya kutoa siri za serikali, iwe kwenye gazeti, tv, redioni, mtandaoni na kwa mtu fulani unajitafutia tabu nzito nzito
Wanaharakati wa mtandaoni wote, asilimia kubwa wanapokosoa wanadondokea kwenye kipengele namba moja, wasipo badilika wataisha, hawawezi bora wachague kuwa invisible kama kigogo. Ila wanapochagua kuikosoa serikali na kupata popularity, wataisha aisee.
Hayo maswali kamsaidie kuuliza huko mahakamani kama wakili wake siyo humu au kamuulize yeye kama unadhani maswali yako ni kinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuwajaza wenzako ujinga,andika basi na wewe post kama hiyo mtandaoni basi.Hakim mbona una jazba hivyoo,basi mfunge tu
Acha kuwajaza wenzako ujinga,andika basi na wewe post kama hiyo mtandaoni basi.
Wewe umewahi kuandika post kama hiyo nakuuliza?
Mnakera sana bora mfungwe wote wenye maneno machafu kama hayo mnatuchafulia jamii.
Mnashindwa kutoa hoja zenu au kumkosoa mtu kwa lugha ya staha kwanini hadi mtukane?
Sasa atakuhadithia akitoka huko nani alikuwa anamtukana au nani mwenye madawa ya kulevya kweli,mbuzi huyo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah
Asije kuwa alikuwa anawaunga mkono wapinzani wa chama tawala
Bottom line:Kama huna connections za kukunasua kwenye shida,basi usicheze na Serikali
Wewe unawatambua kama wamiliki ila wao wanajua sio wamiliki ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa kujisifu kupitia tbcwengine tunaishi sio wamiliki wa nchi wamiliki tunawafahamu japokua hatutaki kukubali ndo maana tunaumizwa