Recent content by ba mdogoo

  1. ba mdogoo

    Wakili LHRC: Hakuna Mwanamke anayeweza kumbaka Mwanaume

    Huyu wakili akijua maana ya neno kubaka au kubakwa hatorudia kutoa kauli kama hii. Wakili kama huyu anaweza kusema kuwa mwanamke hana nguvu za kumpiga mwanaume. Hayuko sawa
  2. ba mdogoo

    Simiyu: Mtendaji Kata afikishwa Mahakamani kwa Wizi wa Tsh. 1,628,000

    Hii nchi maigizo ni mengi sanaaa.. unaweza kukuta aliyemshitaki huyu mtendaji kwa kuiba 1m alishawahi kuiba 200m na nyingine nyingiii na hajawahi kukamatwa, inawezekana kabisaa amemshitaki kwasababu labda dill ilikua yake mtendaji akamuwahi. Yani hii nchi kuna watu wameiba billions of money bt...
  3. ba mdogoo

    Nimekutana na binti mrembo sikutegemea awe anakaa Mbagala

    Wacha kubabaika mkuu. Banda moja, kuku ladha tofauti.. jilie bila kuwaza man
  4. ba mdogoo

    Gazeti la Mwananchi online lafungiwa miezi sita na kulipishwa faini milioni 5 kwa kupotosha

    Gazeti namba moja tanzania. Lenyekutupa habari za uhakika
  5. ba mdogoo

    Mbowe na Matiko warejeshwa gerezani baada ya Mahakama ya Rufaa kusema itatoa uamuzi wa rufani iliyokatwa na DPP

    Tarehe ya siku itakayopangwa 😎😎😎, khaaa kweli tanzania mahakama ipo huru kabsaaaaa
  6. ba mdogoo

    Robbers rape bank staff in Kampala raid

    Ili twende sawa, tuwekeeni picha, tusiwasingizie bureeeee.. Tuone tukio kamiliii 🤣🤣😎😎😎😎
  7. ba mdogoo

    Waziri Mkuu: Mkuu wa Mkoa Iringa na wenzie, waripoti ofisini kwangu Dodoma Tarehe 7 saa 5 asubuhi

    Hapa ndo utakapoanza kuona unafki wa ccm, kesho habari itakuja tofauti ili kumlinda happy.. Hahahhaha
  8. ba mdogoo

    Jinsi ya kupika Pilau ya Nyama ya Ng'ombe

    Naomba kujulishwa thomu kwa kiswahili tulichokizoea huenda ikawa ni ninii!??
  9. ba mdogoo

    Serikali kumkaanga Cyprian Musiba kwa kuandika habari ''Vigogo 14 hatari kwa nchi watajwa''

    hahahaahahahaa.. vitu vingine vinachekesha kwakweli, alivyokua anawachafua wakina mbowe serikali ilikaa kimya, sasa amegeuka upande wao ndio wanaamka na kuanza kurusha povu. Wajifunze kuvumilia kama wakina mbowe na kina zitto walivyovumilia na mwisho akachoka
  10. ba mdogoo

    Arusha: Mahakama ya Arumeru imemwachia huru Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na Polisi kumkamata tena

    Kuna kesi nyengine zinasukika hata ukimsukuma hakimu anasukumika, nyengine hakimu hasukumiki coz ni nyepesi snaaaaaaa.. Mfanowe nni hii, ni nyepesi snaaaa
  11. ba mdogoo

    UNAAMBIWA: Wanaume wenye ndevu hunufaika kiafya kuliko wasionazo

    Mi nna sharubu mahaba znatosha kabsaaa.. Hua sipendi mandevu yakufunika mashavu, chini ya kidevu znatosha kabsaaaaa
  12. ba mdogoo

    Wakili Kambole: Abdul Nondo hayupo vituo vyote vya Polisi

    Kuna tatizo kwenye chumba cha fikra akilini mwako.. Omba mungu yasifikie upande wako
  13. ba mdogoo

    Jinsi ya ku-highlight sentensi au maneno kwa rangi humu JamiiForums

    [colour=blue] Sent from my TECNO-A7 using JamiiForums mobile app
  14. ba mdogoo

    Ushauri kwa Mange Kimambi

    Ishu sio vibaraka, ila unaelekezwa sehemu husika amabyo ujumbe utamfikia muhusika Sent from my TECNO-A7 using JamiiForums mobile app
  15. ba mdogoo

    Ushauri kwa Mange Kimambi

    Sasa umetuma huu ujumbe huku unauhakika kama aingiaga humu jamii forum? Ingefaa ungeenda istagram angekupata kwa wepesi Sent from my TECNO-A7 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom