Recent content by Azul

  1. Azul

    JamiiForums Tanzania Unafanyaje kukusanya kodi nyumba iliyo mbali? Nishachoka

    Badilisha aina ya wapangaji, mm nipo mbali na ninae mlipa ila najitahidi ikifika namtumia bila kukumbushwa.
  2. Azul

    JamiiForums Tanzania Unamsaidiaje mzazi kama huyu aliyekuwa anakataa mwanaye kutokuwa mtukutu?

    Hilo swali, lazima lijibiwe kwa hasira..maana umeuliza swali la logic,kitu ambacho yeye hataki kujua anaishi zake na hisia...hahaha, Logic ni kwamba sio mtoto wa kwanza,haha
  3. Azul

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti hivi miaka 22 mpaka 28 huwa mnadate na wakina nani mpaka mnashia kuwa single?

    Hamna ulazima ila kwann wasumbue watu makanisani, ikiwa ni kweli hakuna ulazima. Tusingewaona wakisumbuka...means upo.
  4. Azul

    JamiiForums Tanzania Wazoefu wa Biashara naombeni wazo la biashara

    Daaah mpaka nimechekaa, so mnakutana mida mingi JF.. Ila hii umeenda sana personal jmni, na huo ni ukorofi wa chinichini. Hahha
  5. Azul

    JamiiForums Tanzania TANZIA Arusha: Askari Polisi auawa Picnic bar akidhaniwa jambazi baada ya kuzidiwa kilevi na kwenda kulala kwenye gari lisilo lake

    Watu hawajali tena,mazingira ya askari kukutwa ndani ya gar la mtu, ameingiaje...wanafurahia tu kafa, hali sio nzuri sana.
  6. Azul

    JamiiForums Tanzania TANZIA Arusha: Askari Polisi auawa Picnic bar akidhaniwa jambazi baada ya kuzidiwa kilevi na kwenda kulala kwenye gari lisilo lake

    Yes na gar ilikuaje likawa wazi maeneo hatari kama yale.
  7. Azul

    JamiiForums Tanzania TANZIA Arusha: Askari Polisi auawa Picnic bar akidhaniwa jambazi baada ya kuzidiwa kilevi na kwenda kulala kwenye gari lisilo lake

    Gari ilikua parking, milango ipo wazi mpaka askari aingie kujilaza ndani? Mazingira ya picnic, hakuna mtu ataacha gar bila kulock, tuanzir hapo kwanz.a
  8. Azul

    JamiiForums Tanzania Mara paaaa unamuona mama yako hapo

    Wewe ndio nimekuelewa, hapa duniani kila mmoja ana mitikasi yake, tusifatilie sana maisha ya watu..hahaha japo utaumia kidg
  9. Azul

    JamiiForums Tanzania PICHA: Chumba ambapo Polepole alikuwa akirekodia, akionekana na Ile Black Screen nyuma

    Bila kifo, hii dunia ingekua sehemu hatari sanaaaa.. Just imagine, kuna kifo lakn watu wanajisahau hivi.
  10. Azul

    JamiiForums Tanzania Putin anachofanya ni PR na siasa ila ni ngumu sana kuizuia kansa na nitakupa na sababu

    Uko sahihi, sio kila kitu tupinge muda mwngine inaumiza sana
  11. Azul

    JamiiForums Tanzania Brentford FC ndio mabingwa wa EPL msimu huu anayebisha tukutane Mei siongei sana

    Hatukatai, ila ungeleta hata sababu Kadhaa za kusapoti uzi wako.
  12. Azul

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Thamani ya mwanamke ni ipi kwenye mahusiano?

    Umepita mle mle...haujakosea,wanawake wanachangia kuua hatima za wanaume wengi kama sio wote.
  13. Azul

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta binti Salaf wa kuoa

    Kila la kheri mkuu
  14. Azul

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baada ya kujificha ficha sana hatimaye Yericko Nyerere ajiunga CHAUMMA

    Yericko nilikua namkubaligi sana, nilihisigi jamaa ni ana akili sana ila nilikuja gundua wa kawaida mno.
  15. Azul

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baba Levo na kura 88 za maoni CCM jimbo la Kigoma Mjini

    Umeaangalia vyema, ila pia jiulize kama Baba Levo anaaminiwa na kidg apite. Je wananchi wana umakini kweli na uchaguzi wa viongozi au hawajui lolote,mbungu awe baba levo kweli?
Back
Top Bottom