Recent content by Azul

  1. Azul

    Unamsaidiaje mzazi kama huyu aliyekuwa anakataa mwanaye kutokuwa mtukutu?

    Hilo swali, lazima lijibiwe kwa hasira..maana umeuliza swali la logic,kitu ambacho yeye hataki kujua anaishi zake na hisia...hahaha, Logic ni kwamba sio mtoto wa kwanza,haha
  2. Azul

    Mabinti hivi miaka 22 mpaka 28 huwa mnadate na wakina nani mpaka mnashia kuwa single?

    Hamna ulazima ila kwann wasumbue watu makanisani, ikiwa ni kweli hakuna ulazima. Tusingewaona wakisumbuka...means upo.
  3. Azul

    Wazoefu wa Biashara naombeni wazo la biashara

    Daaah mpaka nimechekaa, so mnakutana mida mingi JF.. Ila hii umeenda sana personal jmni, na huo ni ukorofi wa chinichini. Hahha
  4. Azul

    TANZIA Arusha: Askari Polisi auawa Picnic bar akidhaniwa jambazi baada ya kuzidiwa kilevi na kwenda kulala kwenye gari lisilo lake

    Watu hawajali tena,mazingira ya askari kukutwa ndani ya gar la mtu, ameingiaje...wanafurahia tu kafa, hali sio nzuri sana.
  5. Azul

    TANZIA Arusha: Askari Polisi auawa Picnic bar akidhaniwa jambazi baada ya kuzidiwa kilevi na kwenda kulala kwenye gari lisilo lake

    Gari ilikua parking, milango ipo wazi mpaka askari aingie kujilaza ndani? Mazingira ya picnic, hakuna mtu ataacha gar bila kulock, tuanzir hapo kwanz.a
  6. Azul

    Mara paaaa unamuona mama yako hapo

    Wewe ndio nimekuelewa, hapa duniani kila mmoja ana mitikasi yake, tusifatilie sana maisha ya watu..hahaha japo utaumia kidg
  7. Azul

    PICHA: Chumba ambapo Polepole alikuwa akirekodia, akionekana na Ile Black Screen nyuma

    Bila kifo, hii dunia ingekua sehemu hatari sanaaaa.. Just imagine, kuna kifo lakn watu wanajisahau hivi.
  8. Azul

    Putin anachofanya ni PR na siasa ila ni ngumu sana kuizuia kansa na nitakupa na sababu

    Uko sahihi, sio kila kitu tupinge muda mwngine inaumiza sana
  9. Azul

    Brentford FC ndio mabingwa wa EPL msimu huu anayebisha tukutane Mei siongei sana

    Hatukatai, ila ungeleta hata sababu Kadhaa za kusapoti uzi wako.
  10. Azul

    Thamani ya mwanamke ni ipi kwenye mahusiano?

    Umepita mle mle...haujakosea,wanawake wanachangia kuua hatima za wanaume wengi kama sio wote.
  11. Azul

    Natafuta binti Salaf wa kuoa

    Kila la kheri mkuu
  12. Azul

    GE2025 Baada ya kujificha ficha sana hatimaye Yericko Nyerere ajiunga CHAUMMA

    Yericko nilikua namkubaligi sana, nilihisigi jamaa ni ana akili sana ila nilikuja gundua wa kawaida mno.
  13. Azul

    GE2025 Baba Levo na kura 88 za maoni CCM jimbo la Kigoma Mjini

    Umeaangalia vyema, ila pia jiulize kama Baba Levo anaaminiwa na kidg apite. Je wananchi wana umakini kweli na uchaguzi wa viongozi au hawajui lolote,mbungu awe baba levo kweli?
  14. Azul

    Nimeuza kiwanja changu milioni 10, nataka ninunue bodaboda 3. Hii biashara mnaionaje?

    Hongera, ila unataka kuimalizia 10m, kizembe kabisa. Biashara ya boda boda sio aina za biashara mkuu. Achana nayo..fanya mambo mengine kabisa.
Back
Top Bottom