Hilo swali, lazima lijibiwe kwa hasira..maana umeuliza swali la logic,kitu ambacho yeye hataki kujua anaishi zake na hisia...hahaha,
Logic ni kwamba sio mtoto wa kwanza,haha
Gari ilikua parking, milango ipo wazi mpaka askari aingie kujilaza ndani?
Mazingira ya picnic, hakuna mtu ataacha gar bila kulock, tuanzir hapo kwanz.a
Umeaangalia vyema, ila pia jiulize kama Baba Levo anaaminiwa na kidg apite.
Je wananchi wana umakini kweli na uchaguzi wa viongozi au hawajui lolote,mbungu awe baba levo kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.