Mara paaaa unamuona mama yako hapo

Mara paaaa unamuona mama yako hapo

Huwa wanazingua sana,
Ila unamwacha tu aendelee na mambo yake
Wewe ndio nimekuelewa, hapa duniani kila mmoja ana mitikasi yake, tusifatilie sana maisha ya watu..hahaha japo utaumia kidg
 
Kwenye pita pita zako mtandaoni unakutana na hii picha, unapo-zoom na kutazama vizuri unamuona bi mkubwa naye yupo hapo chini.
View attachment 3484101
Utafanya nini mkuu? 😃 comment ziwe fupi fupi
Kupiga kura ni kuhalalisha maisha magumu kwa Watanzania. Msako utafanyika kila kona kila uchochoro, ole wake atakayekutwa ana alama ya rangi kwenye kidole. Kidole kitakatwa. Hatuwezi kuendelea kuishi na wasaliti mitaani.
 
Nitaenda kunywa ngedule ili niwe na mkojo mwingi pia nilewe kisha nitaenda ilipolazana hiyo nizoga na kuanza kuwasambazia mkojo usoni bila kumjali yeyote
 
Nitaenda kunywa ngedule ili niwe na mkojo mwingi pia nilewe kisha nitaenda ilipolazana hiyo nizoga na kuanza kuwasambazia mkojo usoni bila kumjali yeyote
Duuh unataka laana
 
Back
Top Bottom