Recent content by Ayos

  1. Ayos

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimekuwa mtihani kwangu, kila nikiitwa kwenye usahili nashindwa kujieleza

    Mimi nilikua niikingiaga kwenye intaviu nashangaa kile kingereza ninacho angaliaga nacho netflix kinaniacha, mdoomo unakataa iyo lugha, yani nikama unalazimisha kutafuna kwinini... Kitu pekee nachokumbuka ni "so" na "suppose" yani wale wanaonioji wanachoka wenyewe... Ila sasa hivi ni mimi na...
  2. Ayos

    JamiiForums Tanzania Dombia nitakataka pale simba , ndio amaana selemani mwalimu aliniuma sana,

    Pole bro
  3. Ayos

    JamiiForums Tanzania Swali kwa Wazazi

    Ulitakiwa umjenge toka zamani kwamba asiishi kufata maneno ya watu.. NB; sina mtoto
  4. Ayos

    JamiiForums Tanzania Ishowspeed ni CIA kama mjatambua.

    Mwacheni huyu jamaa msimshambulie jmn, hata mimi napènda hizi story za hivi. Story ambazo azina chanzo wala ushaidi zinachangamshaga huku gengeni hatari... Leo naenda kuwashushia mzigo kama ulivo, na wananiogopaga maana story zangu nimpya na za kiintelijensia.. Juzi niliwaletea kuhusu Nchimbi...
  5. Ayos

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Hivi mbona kama tumepaki basi?
  6. Ayos

    JamiiForums Tanzania Wakuu, nimekuta lugha mbofu mbofu kunako PM yangu, angalia. 👇

    INafaaa
  7. Ayos

    JamiiForums Tanzania Wakuu, nimekuta lugha mbofu mbofu kunako PM yangu, angalia. 👇

    Geuza simu usome acha uvivu
  8. Ayos

    JamiiForums Tanzania Nimeipenda sana hii ramani ya hii nyumba

    Idea nzuri
  9. Ayos

    JamiiForums Tanzania Chifu utajuaje kama malkia wako umemridhisha na wewe malkia utajuaje kama chifu ameridhika?

    Mpaka ameweza kupangilia maneno bebi basii anaridia rudia huyo si bado ni mzima
  10. Ayos

    JamiiForums Tanzania Chifu utajuaje kama malkia wako umemridhisha na wewe malkia utajuaje kama chifu ameridhika?

    Nikiwa nasukumia akisema bebii basiiii bebii basii najua kabisa hapa badoo
  11. Ayos

    JamiiForums Tanzania Unaposoma bibilia tumia akili! 😎 Ona. 👇

    sawa
  12. Ayos

    JamiiForums Tanzania Unaposoma bibilia tumia akili! 😎 Ona. 👇

    Mbona bibilia uliyo izungumzia inamtambua?
  13. Ayos

    JamiiForums Tanzania Unaposoma bibilia tumia akili! 😎 Ona. 👇

    TUtumie akili au roho mtakatifu mkuu?
  14. Ayos

    JamiiForums Tanzania Nataka niuache udomo zege nimechoka

    Wanatakiwa wachapwe
Back
Top Bottom