Mimi nilikua niikingiaga kwenye intaviu nashangaa kile kingereza ninacho angaliaga nacho netflix kinaniacha, mdoomo unakataa iyo lugha, yani nikama unalazimisha kutafuna kwinini...
Kitu pekee nachokumbuka ni "so" na "suppose" yani wale wanaonioji wanachoka wenyewe...
Ila sasa hivi ni mimi na...
Mwacheni huyu jamaa msimshambulie jmn, hata mimi napènda hizi story za hivi.
Story ambazo azina chanzo wala ushaidi zinachangamshaga huku gengeni hatari...
Leo naenda kuwashushia mzigo kama ulivo, na wananiogopaga maana story zangu nimpya na za kiintelijensia..
Juzi niliwaletea kuhusu Nchimbi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.