ndoto azikutoka kwa shetani, soma Ayubu 33: 13 hadi 19 utaelewa.
Ndoto alizokua anapata zililua nikupewa tahadhari na kujukishwa yanayo endelea kwenye maisha yake
ukisoma vizuri sura ya saba yote utaona Ayubu alikua anaongea na mungu anamlalamikia, kuhusu kukosa hata usingizi kwa sababu ya hizo ndoto.
Ila aioneshi kwamba ndoto alizoota zimetoka kwa shetani.
Setfree
Kwa uelewa wangu kuhusu masuala ya ndoto kibiblia,
1) hakuna mahali nimeona bibilia imesema kuna ndoto zinatoka kwa shetani.
2) Ndoto mbaya, na zinazoleta hofu sio za kuzuia au kuzikataa bali ni taarifa, kwahyo ukiota ndoto mbaya ni ujumbe unapewa ili ushughulikie jambo husika...
Wakuu kwema?
Nilikua naomba mwenye kujua njia ya kuwatumia wateja wanao nizunguka sms hata bila ya kuwa na namba zao wote.
Yani wateja walio karibu na biashara yangu tu ndio wapate meseji ya huduma nnazotoa.
Asante, nasubiri mchango wenu
Mkuu bibilia sio tukufu, quran ni tukufu maana iko chini ya sheria, kama lilivo bunge letu ni tukufu kwakua liko chini ya sheria.
Bibilia ni takatifu kwakua inabeba neema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.