Nilienda kijiji kimoja Arusha kwa wamasai, wakanikaribisha nyama ilikua kama imepashwa sio kupikwa maana hadi damu inaonekana.
Nikashindwa kuila wakawa wananishangaa, kuna mzee akanipa dawa ya kienyeji nikainywa, baada kama ya dakika 20 nilisikia njaa kama nakufa..
Niliishulikia zile nyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.