Recent content by Ayos

  1. Ayos

    Trump anaidhalilisha Marekani

    Kwani amebadilisha majukumu ya wizara mkuu?
  2. Ayos

    Nimefikia kikomo cha mwisho cha uvumilivu huu ujinga sasa basi

    Uvumilivu ni sehemu ya maisha ndugu, tulia mpaka kesho kutwa ndio utoe maamuzi...
  3. Ayos

    Jinsi ya kuzuia usiote ndoto za kishetani

    ndoto azikutoka kwa shetani, soma Ayubu 33: 13 hadi 19 utaelewa. Ndoto alizokua anapata zililua nikupewa tahadhari na kujukishwa yanayo endelea kwenye maisha yake
  4. Ayos

    Jinsi ya kuzuia usiote ndoto za kishetani

    ukisoma vizuri sura ya saba yote utaona Ayubu alikua anaongea na mungu anamlalamikia, kuhusu kukosa hata usingizi kwa sababu ya hizo ndoto. Ila aioneshi kwamba ndoto alizoota zimetoka kwa shetani.
  5. Ayos

    Jinsi ya kuzuia usiote ndoto za kishetani

    Setfree Kwa uelewa wangu kuhusu masuala ya ndoto kibiblia, 1) hakuna mahali nimeona bibilia imesema kuna ndoto zinatoka kwa shetani. 2) Ndoto mbaya, na zinazoleta hofu sio za kuzuia au kuzikataa bali ni taarifa, kwahyo ukiota ndoto mbaya ni ujumbe unapewa ili ushughulikie jambo husika...
  6. Ayos

    Happy birthday Smart911

    Awe na amani siku zote
  7. Ayos

    Kumbukumbu na shukrani kwa ushirikiano

    Mungu azidi kukupa hekima zaidi na zaidi
  8. Ayos

    Swali: Kwanini Ardhi ilaaniwe kwa kupokea damu ya Abili, iliyomwagwa na Kaini nduguye?

    Mwanadamu aliumbwa kwa udongo, kwahyo ukiilaani ardhi umemlaani mwanadamu.
  9. Ayos

    Ipi sifa yako kuu moja inayoelezea personality trait yako?

    Naogopa ubaya, sipendi ugomvi, sipendi watu
  10. Ayos

    MSAADA: Kuwafikia wateja wengi kwa njia ya sms

    Asante! Nimeshapata utaratibu wa kuufata kupitia voda
  11. Ayos

    MSAADA: Kuwafikia wateja wengi kwa njia ya sms

    Asante, ngoja nitafute namna ya kuwasiliana nao.
  12. Ayos

    MSAADA: Kuwafikia wateja wengi kwa njia ya sms

    Asante! Hiyo bulk sms nilisoma mtandaoni nikaona wanataka mtu kuupload namba unazotaka kuzitumia sms, ila mimi sina namba zao.
  13. Ayos

    MSAADA: Kuwafikia wateja wengi kwa njia ya sms

    Karibu mchango wenu ni wa muhimu
  14. Ayos

    MSAADA: Kuwafikia wateja wengi kwa njia ya sms

    Wakuu kwema? Nilikua naomba mwenye kujua njia ya kuwatumia wateja wanao nizunguka sms hata bila ya kuwa na namba zao wote. Yani wateja walio karibu na biashara yangu tu ndio wapate meseji ya huduma nnazotoa. Asante, nasubiri mchango wenu
  15. Ayos

    Ewe Mkristo jua migongano (contraditions) 50 hatari kwenye Bibilia yetu Tukufu

    Mkuu bibilia sio tukufu, quran ni tukufu maana iko chini ya sheria, kama lilivo bunge letu ni tukufu kwakua liko chini ya sheria. Bibilia ni takatifu kwakua inabeba neema.
Back
Top Bottom