Kwahiyo nyie mnaohoji ujinga wa SISI WATANZANIA mnakuwa Miongoni mwetu ama nyie mlishajiondoa?
Mkijioenda na mkapenda chenu mtaipenda nchi yenu dhidi ya propaganda za ndani na nje.
Alisema Hajawahi kukopa yeye haya mahela walikopa wengine ila yanaletwa yeye akiwa madarakani.....
Huyu bimdashi Changamoto kubwa sana na kituko cha Dunia kwakweli
Sio kitu cha kawaida kiongozi wa serikali kutumia rasilimali za serikali kwenda kufungua Au kuzindua biashara sawa na ya serikali tena Sio ya serikali.
Tuna matawi ya CRDB Mombasa na Congo Sidhani kama kuna gavana wa hizo nchi Anaweza thubutu fanya alichofanya Biteko.
Kuna jambo haliko sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.