Recent content by Avriel

  1. Avriel

    Naomba Ushauri: Mwanamke wangu ananiambia mtoto si wangu

    Kathibitishe kwa kupima DNA maana grounds Unazo kwakuwa mama wa mtoto amesema sio wako. Fuata taratibu za kupima uweze kujiridhisha.
  2. Avriel

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Hakurudishwa tena bungeni....Juma Nkamia na yule ponjolo WA Rukwa Au umesahau?
  3. Avriel

    Tumesahau alichofanywa Dkt. Ulimboka, Mwangosi na Said Kubenea. Nchi hii ni ya kinafiki sana

    Yupo hapa nchini anaendelea na majukumu yake
  4. Avriel

    Tumesahau alichofanywa Dkt. Ulimboka, Mwangosi na Said Kubenea. Nchi hii ni ya kinafiki sana

    Sheikh Ponda alipigwa risasi mwaka gani Kweli?
  5. Avriel

    Kitu gani umeshindwa kuacha moja kwa moja

    Kwanini uache skanka lakini?
  6. Avriel

    Nimekuta vidonge kwenye pochi ya mchumba

    Dawa ya kuzuia maumivu ya kukaza misuli Au uvimbe Au cramping wakati wa hedhi.
  7. Avriel

    Faida za kumkausha ng'ombe

    Asante
  8. Avriel

    Naanza kuamini yale niliyoyahisi mwaka 2021!

    Ila muziki wa Kibiti ulianza kabla JPM hajaingia ikulu na ukaendelea kupamba Moto kisha akauzima kimya milele
  9. Avriel

    Watanzania Kama KARNE hii tupo hivi nasadiki kusema Mwalimu Nyerere(Baba wa Taifa) alipambana Sana

    Kwahiyo nyie mnaohoji ujinga wa SISI WATANZANIA mnakuwa Miongoni mwetu ama nyie mlishajiondoa? Mkijioenda na mkapenda chenu mtaipenda nchi yenu dhidi ya propaganda za ndani na nje.
  10. Avriel

    Zile ziara za nje ya nchi za rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan siku hizi zimeenda wapi?

    Alisema Hajawahi kukopa yeye haya mahela walikopa wengine ila yanaletwa yeye akiwa madarakani..... Huyu bimdashi Changamoto kubwa sana na kituko cha Dunia kwakweli
  11. Avriel

    GE2025 Videos: Vurugu za wanaCCM kwenye zoezi la uteuzi wa wagombea ubunge sehemu mbalimbali nchini

    Duh! Wagombea wanawapenda wananchi mpaka wanawagombania 😜😜 Huba la wagombea litafanyiwa maamuzi na wajumbe.
  12. Avriel

    Ndg Polepole amekwishapoteza, asipotubu nafichua yote ya gizani

    Kiswahili kimeshakuwa lugha ngumu sana hapa Tanzania siku Hizi.
  13. Avriel

    Andiko la maoni ya kijamii kuhusu matumizi ya viongozi wa serikali kwenye matukio ya taasisi binafsi – KCB Geita

    Sio kitu cha kawaida kiongozi wa serikali kutumia rasilimali za serikali kwenda kufungua Au kuzindua biashara sawa na ya serikali tena Sio ya serikali. Tuna matawi ya CRDB Mombasa na Congo Sidhani kama kuna gavana wa hizo nchi Anaweza thubutu fanya alichofanya Biteko. Kuna jambo haliko sawa...
Back
Top Bottom