anajua huna kazi..kuwasiliana bc shida mpk uanze ww...bora hata angekua anakutumia hilo Jero mhh....cm usiku busy!!!! ina mana akimaliza kuongea na simu zake haoni miscall zako ili akupigiee!!!!
Aah angalia ustaarabuuu
Hamuelewekiii.....afanyaje!! Akae giza na thikuku yote ya wapendanao! huyo bf lzm atakua na kitu kingine kwa ajili ya leo ndo mana kazilia bati hizo simu za huyo bidada!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.