Napaona nyumbani

Napaona nyumbani

Picha cyo kigezo!!! Wangapi tunaona wanaweka picha ambazo vyo zao
 
Sina muda mrefu humu jukwaani na bado hata rafiki sina lakina napaona nyumbani. Na kwa maisha ninayoishi kwa sasa jf imekuwa sehemu kubwa ya kampani yangu

Kwa yoyote ambaye angependa kuwa rafiki na mimi namkaribisha

Aisee mimi kuanzia leo ni rafiki yako neno1.
 
Last edited by a moderator:
Jamani mai friendiiiiiiiiiiii
 

Attachments

  • Welcome.jpg
    Welcome.jpg
    98.1 KB · Views: 61
Unaishi wapi?
Ushaoa?
Nani alikuelekeza njia ya kuja Jf?
Miela yako unawekaga Bank au hom?
Ulishawahi kufungwa jela?
Kama bado kwa nini ?
Kama tayari kwa kosa gani ?
Ulishawahi kufumaniwa?
Uko chama gani?
Ulisha ...........
Ngoja niende chooni kwanza nikitoka libeneke linaendelea
 
Unaishi wapi?
Ushaoa?
Nani alikuelekeza njia ya kuja Jf?
Miela yako unawekaga Bank au hom?
Ulishawahi kufungwa jela?
Kama bado kwa nini ?
Kama tayari kwa kosa gani ?
Ulishawahi kufumaniwa?
Uko chama gani?
Ulisha ...........
Ngoja niende chooni kwanza nikitoka libeneke linaendelea

Kama polis aise
 
Unaishi wapi?
Ushaoa?
Nani alikuelekeza njia ya kuja Jf?
Miela yako unawekaga Bank au hom?
Ulishawahi kufungwa jela?
Kama bado kwa nini ?
Kama tayari kwa kosa gani ?
Ulishawahi kufumaniwa?
Uko chama gani?
Ulisha ...........
Ngoja niende chooni kwanza nikitoka libeneke linaendelea

Ukimaliza kunya hakikisha unaflash na maji mengi, hata usipotawaza ni juu yako!!
 
Back
Top Bottom