Recent content by Atropine

  1. Atropine

    Jimbo la Isimani, Iringa tunasema Festo Kiswaga anatosha kuwa mrithi wa Lukuvi

    Hata marehemu bado hajazikwa haya mashetani yashaanza kugombania vyeo. CCM ni laana kwa Taifa hili .
  2. Atropine

    Mke anataka kutimkia kwao akidai nimemwambukiza zinaa. Sijawahi kuugua ugonjwa huo tangia nizaliwe

    Kwenye reports inaonekana una malaria pia mkuu. Urinalysis test pekee haitoshi kuthibitisha ugonjwa wa zinaa. Kwa majibu ya vipimo ulivyopima inaonyesha una Malaria na UTI.
  3. Atropine

    GUINEA yadai kombe baada ya Morocco kujiondoa uwanjani 1976

    😂😂😂 Africa kivyetu vyetu
  4. Atropine

    Tangu Vanessa Mdee aache muziki, hakuna mwanamuziki wa kike yeyote aliyeziba pengo lake

    Come over na Kisela (ft Mr . P) nazikubali sana. Vee money was an international female artist .
  5. Atropine

    H-PYLORI, huyu mdudu ananitesa mno sina raha na maisha

    Mkuu maliza dozi upime tena. Kama bado stool for Hpylori test ni positive unaweza jaribu dawa za Muhimbili upande wa tiba za asili kuna dawa ya Hpylori wanaisifia sana . Unaweza jaribu pia.
  6. Atropine

    Wanaume tunzeni akiba ya kustaafu, hao watu tunaosotea sio wenzetu

    Hii ni kweli kabisa. Uzi wako umenigusa sana. Ngoja nimtumie mzee wangu pesa kidogo akakonge moyo wake.
  7. Atropine

    Saud Arabia na Qatar Zimemruhusu Iran Apige Base Za USA Kwenye Ardhi zao

    Hii ni Propaganda 🚮 Saudi Arabia ni chawa wa USA hivyo hawezi kubali base za USA kushambuliwa.
  8. Atropine

    Nina tatizo la kusahau (kupoteza kumbukumbu)

    Say No To Nyeto. Tafuta single maza moja weka ndani kumbukumbu zitarudi haraka sana.
  9. Atropine

    Wajua Tanzania Haijawahi Kuwa na Katiba ya Wananchi?. Katiba Hii Iliyopo ni ya CCM!, Pongezi Katiba ya Samia, Ndio Katiba ya Kwanza ya Wananchi!.

    Umeshasema katiba ya Samia na Samia ni Mwenyekiti wa CCM. Bado itabaki kua katiba ya CCM tu 🚮
  10. Atropine

    Nissan Dualis zimepatwa na nini?

    Mtaani zinaitwa Flammable 🔥
  11. Atropine

    Bora kufa kuliko kuishi ukiwa masikini

    Ukipata nafasi ya kumsaidia masikini yeyote yule kwa chochote fanya hivyo naamini utabarikiwa sana. 🔨🔨🔨
  12. Atropine

    Marekani anawaonea wanyonge. Ajaribu kwetu alichokifanya Venezuela kama hatotoka kamasi

    Nani aungane na hao wauaji. Yaani ikitokea Tanzania tumevamiwa na lengo la uvamizi ni kuiondoa serikali ya CCM madarakani, wallahi nakwambia 90% ya Watanzania wataungana na havamizi kuiondoa CCM madarakani.
  13. Atropine

    Walimuita hayati Magufuli kuwa dikteta Uchwara. Sasa wanamkumbuka. CHADEMA wana wakati mgumu sana

    CCM mliita CHADEMA ni SACCOS ya Mbowe mbona sasa mnalialia ni bora Mwenyekiti wa CHADEMA angebaki Mbowe!!! Mbona UVCCM hamueleweki!
  14. Atropine

    Baada ya NRNE chini ya Lissu na maridhiano chini Mbowe kufeli huu ndio ushauri wangu kwa Chadema

    Yani tuchanganye tena magugu na ngano!? Huo ni wendawazimu. Kama waliamua kwenda CHAUMA ili kushika dola, ya nini kuwaomba warudi! Wacha watimize ndoto yao. CHADEMA ya sasa sio ile ya kuwalamba matako watawala. CHADEMA ya sasa ni ya mapambano. Yule bwana alizoea kuishi kwa vyakupewa...
Back
Top Bottom