Recent content by Atropine

  1. Atropine

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Polisi hakikisheni ‘Vi-clip clip’ visirushwe, msimame kwenye mambo yenu

    Kwa huyu Tyrant Suluhu, bora hata Kingwendu angekua Rais. 🚮
  2. Atropine

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Suluhu, The Tyrant of 2025.
  3. Atropine

    JamiiForums Tanzania Kuna dawa ya kuacha Pombe?

    Swadaktaaa. Tunywe kistaarabu.
  4. Atropine

    JamiiForums Tanzania David Djumbe (Msaidizi wa Lissu) atekwa

    Halafu wanahubiri Maridhiano. Hivi huko CCM na Serikalini kuna wenye akili kweli.? Mbona Nchi inaendeshwa kama ghetto la masela!?
  5. Atropine

    JamiiForums Tanzania Samia ni Mama, hakuwaua watoto wenu. Mungu huwachukua watu sugu wa aina flani kwa njia flani

    Tyrant of the year 2025.
  6. Atropine

    JamiiForums Tanzania Sipendezwi sana na mashambulizi ya matusi kutoka Kwa viongozi wa Chadema kwenda kwa police

    Unawatetea Polisi? Polisi hawa walioua ndugu zetu kikatili October 29 mpaka 31.! Tena CHADEMA waongeze mashambulizi kwa hao kenge hasiojitambua. Polisi wa Tanzania lolote baya liwakute mbwa nyie. 🚮
  7. Atropine

    JamiiForums Tanzania Captain Tesha, Habil na Kabil ilikuwa si project ya Night walk ya Wana usalama Kama Baadhi Ya Member Wanavyopotosha

    Naunga mkono hoja. Utakua ni wendawazimu kuamini eti TISS ndio waliratibu project hiyo ambayo ilikua na negative impact kwa serikali.
  8. Atropine

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Awasili Uganda kwa Uapisho wa Museveni

    Doctor? Labda u dokta wa makopo na kuua watu. Kama Samia ni Doctor tuambie Tittle ya PhD Dissertation yake . 🚮🚮🚮
  9. Atropine

    JamiiForums Tanzania KERO Kisemvule: Tumepewa siku 14 kuhama makazi yetu kuwa eneo ni la mwekezaji; mamlaka ziingilie kati, kuna mchezo mchafu

    Kiukweli hilo swali hua najiuliza sana bila kupata majibu. Hii Nchi usipokua na pesa wala connections za watu wakubwa utaishi kama shetani.
  10. Atropine

    JamiiForums Tanzania KERO Kisemvule: Tumepewa siku 14 kuhama makazi yetu kuwa eneo ni la mwekezaji; mamlaka ziingilie kati, kuna mchezo mchafu

    Inawezekanaje mamia ya watu wanunue ardhi tena kwa wakati tofauti, waanze ujenzi mpaka wamalize, wahamie na kuanza kuishi katika makazi yao na huyo mwekezaji asiwe na taarifa ya kinachoendelea ktk ardhi yake!!!!?? Kwanini huyo mmiliki/mwekezaji asuburi mpaka watu wajenge na hawamie kwenye...
  11. Atropine

    JamiiForums Tanzania Vijana tuilinde aman

    Amani hua hailindwi. Amani hujilinda yenyewe kwa raia kupata haki zao.
Back
Top Bottom