Kwenye reports inaonekana una malaria pia mkuu.
Urinalysis test pekee haitoshi kuthibitisha ugonjwa wa zinaa.
Kwa majibu ya vipimo ulivyopima inaonyesha una Malaria na UTI.
Mkuu maliza dozi upime tena.
Kama bado stool for Hpylori test ni positive unaweza jaribu dawa za Muhimbili upande wa tiba za asili kuna dawa ya Hpylori wanaisifia sana .
Unaweza jaribu pia.
Nani aungane na hao wauaji.
Yaani ikitokea Tanzania tumevamiwa na lengo la uvamizi ni kuiondoa serikali ya CCM madarakani, wallahi nakwambia 90% ya Watanzania wataungana na havamizi kuiondoa CCM madarakani.
Yani tuchanganye tena magugu na ngano!? Huo ni wendawazimu.
Kama waliamua kwenda CHAUMA ili kushika dola, ya nini kuwaomba warudi! Wacha watimize ndoto yao.
CHADEMA ya sasa sio ile ya kuwalamba matako watawala. CHADEMA ya sasa ni ya mapambano.
Yule bwana alizoea kuishi kwa vyakupewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.