Kuna dawa ya kuacha Pombe?

Kuna dawa ya kuacha Pombe?

Dawa ipo inaflash nicotine
Ni mimea tiba. Nicheki kwa 0713 039 875
 
Tumaini la binadamu wenye imani ni Mungu atakuponya.!

Ajabu naye kaahidi Gambe peponi.! Tena Mito

Mwana wa Adam alikuwa mla kilaji mzuri mpaka mafarisayo wakamshangaa.!

Tufanye habari kuwa fupi Huna msaada
 
Ulipata dawa mkuu?

Mimi Jana niliingia toilet (nyumbani), nikalala humo humo wife amekuja kuniamsha baada ya kutoniona chumbani, yaani saa nzima nalala chooni!

Hiyo ni moja tu ya matukio kibao!
 
Mwanzo 27:28,
2Nyakati2:10,2:15
Mithali 21:17

Mhubiri 9:7 Nenda ukale chakula chako kwa furaha, ukanywe na divai yako kwa moyo mchangamfu, maana Mungu amekwisha ikubali kazi yako. Vaa vizuri, jipake mafuta kichwani. Furahia maisha pamoja na mke wako umpendaye muda wote wa maisha yako ya bure ambayo Mungu amekujalia hapa duniani; maana hilo ndilo ulilopangiwa maishani, katika kazi zako hapa duniani


Vivyo hivyo mashemasi na wawe wastahivu; si wenye kauli mbili, si watu wa kutumia mvinyo sana, si watu wanaotamani fedha ya aibu 1Timotheo 3:8{ hapa elewa neno lililo tumika "si watu wakutumia mvinyo sana" manake wakitumia kidogo sio kosa ama kwa kifupi wasiwe walevi bali wanywaji}

soma pia 1timotheo 5:23

Torati 14:26 na zile fedha zitumie kwa chochote itakachotamani roho yako, ng'ombe, au kondoo, au divai, au kileo, au roho yako itakacho kwako chochote; nawe utakula huko mbele za BWANA, Mungu wako; tena furahi, wewe na nyumba yako

HIZI NI BAADHI TU YA AYA NAOMBA KWAKO ZINAZO KATAZA POMBE{ MVINYO,DIVAI NA KILEO}
Swadaktaaa.
Tunywe kistaarabu.
 
Mtu na uzee wake eti kaacha kipimo 2024.!🤭

Dunia ngumu hii

Ngoja nile kisungura huku na sklow 🤗
Nyie masikini washenzi wachafu mnaokufakufa mapema kwa umasikini kila mtu mnamuona mzee, kwa sababu mmezoea kufa mapema.
 
Dawa ipo aisee tena nina ushuhuda nayo kabisa na hata hiyo pombe ukiiona au kusikia harufu yake hutoweza kuvumilia na utaondoka hiyo sehemu haraka sana..
 
Dawa ipo . No 1 Acha kuwa na kampani na watu walevi .
No 2. Acha kwenda kwenye maeneo yanayouza vilevi
No 3. Anza kuwaza maradhi ya moyo na figo na kansa ya Madonda ya tumbo
No 4. Wekeza kwenye mazoezi.

Pombe inadharaulisha sana. Pombe inadhoofisha mwili.
Pombe inasononesha familia.

Kiufupi HAIFAI
 
Back
Top Bottom