loose Nut
JF-Expert Member
- Dec 6, 2025
- 2,219
- 4,993
Ila Bashite ana roho mbaya. Naskia ilibidi waende na Mwana FA akamfanyia figisu. Mwana FA anapitia wakati mgumu sana. Enzi za mchengerwa walikuwa wanaelewana sana kwasababu wote waswahilina walipiga hela ndefu sana.Ameenda kuangalia waziri Bashite, likiisha atakuja kutusimulia. Tunabana matumizi