nimeipenda na kunikumbusha enzi za mwalimu,,,,,,
naamini mtwara sio gesi tu, kuna na mengineyo,,,
mtu akiwa na donge kooni limemkwama, siku ukimgusa tu kwa kitu kingine tofauti na alichokuwa nacho kooni, basi atalipuka kama moto wa petroli, tuombeane na kutakiana amani, pia tuwaombee na...