Zitto Kabwe alazwa hospitali

Zitto Kabwe alazwa hospitali

Hivi hii habari ya kulazwa kwa mh Zitto bado ni 'tetesi' tu?
 
hakuna ajuae anachosumbuliwa ndg. Zitto, toka alazwe afya yake yaendeleaje?
 
Pole sana mpiganaji,Mungu atakusaidia utapona na kuendeleza mapambano mpaka kieleweke.
 
Wanaoshughulikia wenzao mbona tunawajua. Tunakwenda kwa rekodi mkuu. Anzia toka Kolimba hadi hawa wawili wa juzi walioko hospitali India - Mwakyemba na Mwandosya. Huenda hata kwa huyu mmeweka mkono wenu sasa mnataka kujiosha.
Kwa sasa tunamwombea kamanda Zitto apone haraka.

inawezekana kabisa. ni juzi tu alimlipua Mkulo, kuogopa aibu mjengoni anaamua kusafisha njia. ila atapona tu
 
Mungu amponye upesi, hili ni jembe la ukweli linaitajika sana kwenye nchi hii....

Get well soon Zitto
 
101594.gif

Get Well Soon Mpiganaji
 
Naomba kujua kalazwa hospitali gani hapo Dar wakuu kwakua kesho nitakua safarini kwenda Dar es Salaam ili niweze kumtembelea mtetezi wa taifa hili.

soma maelezo ya uzi vizuri sawa..
 
Namuombea apone lakini ajifunze kuwa magamba wanamuwinda sana akicheza anakufa.
 
Pole mwana harakat hayo ni majaribu katika maisha utashind ugua pole tunaomba mungu upone mapema
 
Inshallah mwenyezi atakuondolea maradhi na misukosuko....mpendwa na wengi....
 
Ugua pole Mh Kabew, Mungu akuponye na upone haraka; taifa linakuhitaji
 
Back
Top Bottom