RIP Marehemu wote na Mwenyezi Mungu awaongoze Majeruhi wapone haraka..ila inasikitisha sana..untill when these road fatalities will claim our people's life??
marehemu wapumzike kwa amani na majeruhi wapone haraka warejee kwenye ujenzi wa taifa! Jamani hizi ajali zitatumaliza! Traffic fanyeni kazi zenu! kagueni leseni, kagueni magari na hakikisheni sheria za barabarani zinafuatwa! muda mrefu mnajikita kwenye kupokea rushwa na kukaa kwenye vijiwe vya supu na pombe hamsimami barabara kuangalia mwenendo wa magari!!
Kwa mujibu wa watu wanaotoka kuona wagonjwa muda huu Hospitali ya Rufaa Mbeya majeruhi mwingine hatunaye tena idadi ya walokufa yafikia 13 inasikitisha.
Poleni sana majeruhi, tunawaombea mpone haraka, na poleni wafiwa waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki.Mungu tunusuru na ajali hizi ambazo zimekuwa zigharimu maisha ya watu kila kukicha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.