kipindi cha Joyce hakina ubaya wowote, mwanamke atakayedanganywa na mafunzo hasi
juu ya ndoa atakuwa ameamua mwenyewe, kutokana na historia ya mwendesha kipindi
inaweza kuwahamaisha wasichana wenye status kama ya aliyokuwa nayo mwendesha kipindi
kuwa ulipoogea sio lazima ukaukie,,, kuna...
nimependa stori, imenikumbusha na stori nyingine uliweka hapa ya dada tabata
akakuachia HIV, pia ile ya dada anasomea udaktari muhimbili, ulikutana naye kwenye party
Mentor bwana,,, any way zinaonya
nyie hamna shule na hospitali? mnachelewa nini kuita serikali na wafadhili wawezeshe na muingie nao mkataba wa kutoa huduma, ili na nyinyi muwe na mfumo- islamu? ukweli mnao, mnaendekeza mambo yasiyo na tija huku mkijua udhaifu wenu. msiwafanye wengine kuwa madaraja ya kufikia mafanikio yenu...
tuwe wavumilivu na wenye busara, ndugu zangu waislam kuna chuki mnajipandikizia mioyoni mwenu lakini hauna manufaa. ukweli uko wazi, kuwa mlichelewa kupata elimu, tumieni nafasi ya sasa kusoma zaidi na mjenge taasisi zenu. ccm na utawala wake umeshawaona mtaji, na unawatumia nyinyi kisiasa...
mulugo anajua ukweli hawezi kujitokeza hadharani kwa kuogopa kumwaga unga, niliwahi kuona alivyocoment living certificate za wanafunzi wa form four wa southern high land sec school 2002, akiwa kama headmaster comment ilisomeka hivi 'she is complitelly form four' mwenye living za southern 2002...
ndugu usishikie bango jambo usilolijua, ama la kuambiwa. nije kwenye mada yako. mimi ni nyar Luo nimezaliwa, nimekulia, ujaluoni.
naomba niwatoe wasiwasi wanajamvi kuwa huu uzi kuhusu joluo kulala na wakwe zao sio mila na tamaduni ya jolwo.
jolwo wametawaliwa na miiko kadhaa na moja wapo ni hili...
umesahau cv yake ya kuhamia upinzani kipindi flani, na kufulia mpaka the beautiful one alipomkumbuka juzi kati au alikuambia usifunguke kuhusu hilo? any way hongera kwa kumpigia debe ingawa kauli zake ni chapwa
ni kweli hana elimu yoyoyote, pili nikupe angalizo, Airo hana undugu wowote na Sarungi, isipokuwa kwao ni kumoja (utegi) huyo Ochele ni mfuasi wa Airo kwa vile wote wana mbinu Chafu za kuwin maisha. kuhusu Airo kugombe tena, alishajinaka hadharani kuwa hatagombea. so wanarorya nipeni kura miyee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.