BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,284
Unategemea nini kutoka kwa Baba wa Magumashi alias DHAIFU!!!!
jk kazidi sasa kuteua watu magumashi
jk kazidi sasa kuteua watu magumashi
acheni udwanzi wenu hapa
Nadhan kabla hajafikia uamuzi wa kujiudhuru, anapaswa apewe haki ya kujitetea au kuuelewesha umma ili kuweka kumbukumbu viziri. Hii ni ishu nzito kiasi kwamba ilitakiwa Waziri aje atabanaishe kwenye Press Conference, haikutakiwa kuishia kienyejienyeji tu kwa waziri kutuma SMS. Kuna hoja nzito imekuwa raised hapo na Mbunge ambaye kimsing ni mwakilishi wa wananchi wa mbeya.Hii nimeipenda mkuu naomba Tu Mulugo Ajiuzuru kwa sababu ya utata wa elimu yake.
Du! Umenikumbusha mbali!Mulugo sijui bado anaendelea na ile biashara yake ya vibama aliyokuwa akiifanya kipindi akiwa mwalimu?
jk kazidi sasa kuteua watu magumashi
acheni udwanzi wenu hapa
Mkuu kuna huu uhusiano ambao ni kweli kabisa wala si habari ya kutunga.
JK.....Mulugo......Mary Mwanjelwa
Ni kwamba Mulugo ni kuwadi wa JK kwa Mary Mwanjelwa na malipo ya kazi yake ya ukuwadi ni kupewa huo unaibu waziri vinginevyo hana sifa kabisa na cheo hicho.
Mary mwanjelwa aka " Mwizi wa mataulo " .........alishikwa live east African hotel, Arusha
Nimesoma ujumbe wa naibu waziri wa elimu kupitia gazeti la Tanzania Daima. Kuwa atahakikisha anarejesha majimbo yaliyo mikononi mwa CHADEMA kwenda CCM. Swali kwa mulugo Je utafanya nini kuinua kiwango cha alama za ufaulu s/msingi mlizoshusha hadi 70? Yaani wewe la maana na vipaumbele vyako ni majimbo.Pole sana.
Teh,teh,teh,teh we nawe umeifanya jioni yangu iwe safiiiiii acha nifuate ka wine kangu dukani hilo nalo neno.
Kudadadeki eti AMINI jaman siasa hizi
Mary mwanjelwa aka " Mwizi wa mataulo " .........alishikwa live east African hotel, Arusha