CCM; Ochele Obuto hafai kuwa mbunge wa Rorya

Kwanza Charlesi Ochele obutu ana yafutayo anayotuhumiwa na ambayo kiongozi hafai kuwa nayo na kama atakanusha mfuateni mumulize
1.YEYE sio raia wa Tanzania kwa kuwa yeye ni mjaluo wa kenya pamoja kuwa jamaa zake wapo pale roche ratia rorya,mzazi wake ni wa kenya hapo alipo ni kwa baba mdogo aliyekuwa upande wa pili huku tz.
2. shule ya msingi alisomea Ratia hata hivyo hakufaulu kwenda sekondari ,inawa alienda kwa jina la mtu hilo alitumialo na kuishia kidato cha pili,hakumaliza sekondari.
3.Alikuwa jambazi wa kutupwa maeneo ya kitongoji cha maumau hapa rorya kabla ya kujihusisha na biashara haramu ya samaki ziwa victoria.angalia mikono atoe sababu kufikia halihiyo.
4.zipo taarifa za kuendelea kuwepo kwa rb polisi pale musoma ya mada kesi, chunguza
5.Gari atumiayo si halali ya harrier ,haijaripiwa ushuru ilipoingia na inawezekazana ni ya wizi upande wa pili.
6.nyumba ndogo ya hapa musoma ya mtu kamnyanganya.
kwa hayo mafupi pima na chama au vyombo vifanye uchunguzi ka sio kweli basi agombee.
 
airo ubaya wake mkubwa ni kuasisi mauaji na mapigano ya mwaka 1999 may yaliyotekeza wajaluo na wakurya wengi.alifadhiri mkutano wa maandalizi kwa kata za koryo,nyathorogo ,mirare nk
 
Nipo mimi wazee nna Masters Degree 2 na Bachelor. Kada CCM. NIPO MJINI ILA SIJAOA MJALUO NA SKUL NIMESOMA DAR MDINGI ALIENDA DAR JOB NA KUFIA DAR NA KUZIKWA ROLYA. Na mi nipigieni debe miaka yangu 37 tu.
 
Kwanza Charlesi Ochele obutu ana yafutayo anayotuhumiwa na ambayo kiongozi hafai kuwa nayo na kama atakanusha mfuateni mumulize
1.YEYE sio raia wa Tanzania kwa kuwa yeye ni mjaluo wa kenya pamoja kuwa jamaa zake wapo pale roche ratia rorya,mzazi wake ni wa kenya hapo alipo ni kwa baba mdogo aliyekuwa upande wa pili huku tz.
2. shule ya msingi alisomea Ratia hata hivyo hakufaulu kwenda sekondari ,inawa alienda kwa jina la mtu hilo alitumialo na kuishia kidato cha pili,hakumaliza sekondari.
3.Alikuwa jambazi wa kutupwa maeneo ya kitongoji cha maumau hapa rorya kabla ya kujihusisha na biashara haramu ya samaki ziwa victoria.angalia mikono atoe sababu kufikia halihiyo.
4.zipo taarifa za kuendelea kuwepo kwa rb polisi pale musoma ya mada kesi, chunguza
5.Gari atumiayo si halali ya harrier ,haijaripiwa ushuru ilipoingia na inawezekazana ni ya wizi upande wa pili.
6.nyumba ndogo ya hapa musoma ya mtu kamnyanganya.
kwa hayo mafupi pima na chama au vyombo vifanye uchunguzi ka sio kweli basi agombee.


Tanu kwa vyovyote wewe ni jasusi tena uliyebobea. Ninaipata hii harufu yako kwa mbaaaaaali. Hebu tumwagie zaidi kuhusu hiri rijamaa Limchelle sijui Ochelle tulijue maovu yake.
 
Nipo mimi wazee nna Masters Degree 2 na Bachelor. Kada CCM. NIPO MJINI ILA SIJAOA MJALUO NA SKUL NIMESOMA DAR MDINGI ALIENDA DAR JOB NA KUFIA DAR NA KUZIKWA ROLYA. Na mi nipigieni debe miaka yangu 37 tu.

Mwaga cv jamvini siyo kujihibernate kama nguchiro!
 
Taarifa za ndani kutoka katika mtandao wa mbunge Lameck Airo wa jimbo la Rorya zinasema kuwa mbunge huyo ameanza kumwandaa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Rorya Ochelle Obuto ili arithi mikoba ya ubunge 2015.

My take: Ochelle ni mbumbumbu wa kutupwa na pia elimu yake mbovu. Ni mtu mmoja ana kiburi na majivuno ya pesa. Anaiendesha halmashauri kama NGO yake. Kawabana madiwani hawapumui. Anatetea wakuu wa Idara mafisadi ambao anakuwa na manufaa nao katika zabuni mbalimbali, mfano ni mhandisi Julius Kahena ambaye serikali ilimhamisha na kumshusha cheo kwasababu ya ufisadi, mwenyekiti anadaiwa kumtetea tamisemi ili abaki Rorya. Hadi sasa Kahena hajahama!. CCM ikimsimamisha Ochelle 2015 jimbo limekwenda na maji kwani jamaa ni hovyo kabisa.

Kwani hata Lameck Airo mbunge wenu wa sasa ana elimu gani, kwa kuwa mlianza vibaya msitegemee kumaliza vizuri.Jimbo la Rorya atakaepatikana mwenye elimu na uelewa hakuna maana siasa za Rorya kwa hawa ndugu zangu zimebaki ni za kurithishana, huyo Lameck Airo ni binamu yake Sarungi aliekuwa mbunge wa Rorya miaka nenda rudi sasa yawezekana hata huyo Ochelle Obuto nae ni mjukuu wa Lameck Airo. Hata hivo huyu mbunge Lameck Airo si agombee tena maana ndo kwanza ametawala awamu moja tu ama anaona biashara zake zinaingiliwa ndo maana anataka kuzama kwenye zile biashara za magendo mpakani Sirali, hivi wewe unafikiri ile La Cairo pale Mwanza angeijengea mawe tu
 
nyie wasimbiti si mjitokeze tuwape kura? mmezidi mno kujificha shit!

Atieno Mimi nimependa tamko lako juu ya wasimbiti.Sijawahi muona msimbiti anajitokeza kuomba nafasi hiyo ya uongozi.Na kila siku wanalalamika kutopata watu wao kugombea.But what I know Wasimbiti they are helpless na hopeless.Ni watu Wa kula nyama na pombe hawaoni mbele hata kidogo.Wajaluo wana umoja na mwamko mno.Hebu ona wasimbiti madiwani kama Machiwa they are useless kabisa na yeye ndiye makamu kwa kuwa tu anambebea magazeti huyu Lakairo sijui hata jina simjui.
Rorya kuna
Wahacha
Wasimbiti
Wajaluo
Wasweta inakuwaje kila mara wanashindwa na wajaluo na kazi kulalama?
 
Mwaga cv jamvini siyo kujihibernate kama nguchiro!

Mzee ntajibania nafasi ya kugombea 2015. Maina kama anasoma hii thread (nna uhakika anainterest) anajua na ashanihisi. Nnamfata 2015 naenda kumpiga kama kasimama na Ochelle wenu. Mda wote nawaangalia tu na Rolya yetu wanavyoiua. Regards salamu kwa Lameck Airo, Ochelle na Maina, waje wote 2015 napeleka lami hadi kirongwe na mbombi
 
wadau nami naona nitangaze nia mapema ya kuingia kinyang'anyironi hapo Rorya 2015 panapo majaliwa, mgombea binafsi sina itikadi ya chama chochote, maana hawa jamaa wanakuwa na interest zao wakishapata ubunge wanarorya wanatelekezwa, najua watadai mgombea binafsi haruhusiwi, lkn najua katiba mpya hili lazima lizingatiwe
 
Nipo mimi wazee nna Masters Degree 2 na Bachelor. Kada CCM. NIPO MJINI ILA SIJAOA MJALUO NA SKUL NIMESOMA DAR MDINGI ALIENDA DAR JOB NA KUFIA DAR NA KUZIKWA ROLYA. Na mi nipigieni debe miaka yangu 37 tu.

mh! kwa psychology ya wanarorya sidhani kama unawafaa. jiandae tu kwa kanga za kijani, t-shirt za njano au kijani, kofia, gongo, kwa vijana utawapata kiulainiiiiiiiiii
 
Kwani hata Lameck Airo mbunge wenu wa sasa ana elimu gani, kwa kuwa mlianza vibaya msitegemee kumaliza vizuri.Jimbo la Rorya atakaepatikana mwenye elimu na uelewa hakuna maana siasa za Rorya kwa hawa ndugu zangu zimebaki ni za kurithishana, huyo Lameck Airo ni binamu yake Sarungi aliekuwa mbunge wa Rorya miaka nenda rudi sasa yawezekana hata huyo Ochelle Obuto nae ni mjukuu wa Lameck Airo. Hata hivo huyu mbunge Lameck Airo si agombee tena maana ndo kwanza ametawala awamu moja tu ama anaona biashara zake zinaingiliwa ndo maana anataka kuzama kwenye zile biashara za magendo mpakani Sirali, hivi wewe unafikiri ile La Cairo pale Mwanza angeijengea mawe tu

ni kweli hana elimu yoyoyote, pili nikupe angalizo, Airo hana undugu wowote na Sarungi, isipokuwa kwao ni kumoja (utegi) huyo Ochele ni mfuasi wa Airo kwa vile wote wana mbinu Chafu za kuwin maisha. kuhusu Airo kugombe tena, alishajinaka hadharani kuwa hatagombea. so wanarorya nipeni kura miyee niendeleze aliyoyahasisi baba coz wabunge waliofuata baada ya baba ni useless woooote.
 
Kama mliweza kumchagua STD VII leaver Lameck Kairo mtashindwajwe kumchagua Ochele Obuto?<BR><BR>BTW ninasikia mama Gaudensia Kabaka analimezea mate jimbo la Rorya.
 
Roryaaaaaaa, kazi kukazana tu! Msiba unageuzwa sehemu ya watu kuoana kwa muda. Sherehe za rorya ni kutooooombana tu aaaagh!
 
Vilaza tu ndo wanaitawala Rorya huu ni usssssssenge sana! Eti Ochelle lol!
 
Back
Top Bottom