Lala salama, "sharobaro wanatoa wapi men!!!!"
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Kumbe na we umo?jamani so sad kiko nje ya uwezo wetu
Lala salama, "sharobaro wanatoa wapi men!!!!"
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
kama kumbu kumbu zangu ziko vizuri sharo anakuwa msanii wa tatu kufariki akiwa anafanya kazi karibu na mzee majuto........anyway RIP sharo!
watu wanataka kujipatia umaarufu hata kwenye vifo vya watu!!!! una sasa photoshop ilivyo bugieMbona Haieleweki Hii au Ni Cooked? Mbona inaonyesha Sharo Alituma 10:47 PM Mon wakati ajali amepata 08:00 PM Mon?
![]()
There are currently 742 users browsing this thread. (73 members and 669 guests)
Hoya Nyie Guests Mnatuyeyusha Jiungeni Bwana!!!!!