Recent content by Athanas kabujanja

  1. Athanas kabujanja

    Rais Samia atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dkt. Raphael Chegeni

    kama umeumia dzain flan iv ila unajikaza
  2. Athanas kabujanja

    Agronomy vs biotechnology

    Biotechnology ya sua iko specialised na vet science its like mnakua prepared kufanya kaz veterinary labs
  3. Athanas kabujanja

    Genius Only: Ni Pipa Gani Litaanza Kujaa?

    No 7 coz outlet yake ndo inapeleka namb 11 na itapeleka only if limejaa so namb 7 ndo litaanza kujaa... Makofi tafadhali
  4. Athanas kabujanja

    Siku 6 zimebaki kieleweke selection za vyuo vikuu 2017/2018

    Molecular biology and biotechnology #udsm
  5. Athanas kabujanja

    Ubaguzi wa Baadhi ya Wasanii ndani ya Fiesta 2017

    Jamaa wanyonyaji sana. Wanaamdaa baket ndogo na wanawalipa wasanii pesa isiyoendana na level zao... Na ukikataa kukbaliana na malipo yao ndo bas tena hutaitwa fiesta yyte. Ndo mana wasanii 90% ya wale ambao wanaitambua thaman yao ndo ambao hawapo kwenye izo show.
  6. Athanas kabujanja

    Hiki ndicho wasichoelewa watanzania wengi mpaka sasa hivi...

    Mkuu umepotea vibaya aisee. Kawafukuza watu kwa uhakiki wa vyeti,kaacha pengo kwenye nafasi zao na halijazibwa mpaka leo, Ningeona n mtu wa maana angewatoa alafu akareplace nafasi zao na wenye vyeti. Chaajab n mwaka wa pili hakuna alowekwa mbadala wa wale. Ikumbukwe hata kama mtu yule hakua na...
  7. Athanas kabujanja

    TAFAKURI: Kwanini Serikali imekataa kugharamia matibabu ya Lissu nje ya nchi?

    Daahh nlkua sijui kumbe na ma janwth aliwahi kwenda icu ya muhimbili? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Athanas kabujanja

    TAFAKURI: Kwanini Serikali imekataa kugharamia matibabu ya Lissu nje ya nchi?

    Swala haliko kwa madaktari ila liko kwa waliofanya kitendo kile. Wasiojulkana wamefanya jaribio la mauaji, kumuacha lisu tanzania ilkua inaongeza chance ya wauaji kua karibu na mgonjwa. Na kwa vile muuaji hajulkani anaweza kuwa yeyote kati yawatanzania wenyew au serikali au hata vyombo vya...
  9. Athanas kabujanja

    hivi bord ya mikopo inataka wanachuo waandamane kwanza ndio watoe boom?

    hela cha kwanz n ndogo kulinganisha na maisha yenyew ya saiv na kitu kingn mwanachuo n mtu mzma ambae anajua matumiz yake na ratiba zake swala la kumpangia matumz mwanachuo ilo n ujinga maana kila mtu ana namna ya kutumia ela ake..swala la kusema awatunz ata akiba ilo so kwel maana ka hela...
  10. Athanas kabujanja

    Kova hajatuma Timu ya kusaidia Uokoaji Kenya? Hivi hakuna Watanzania Kenya?

    tanzania majesh yake yako bize na kupanga upumbavu mtupu na sio kufanya mambo ya mcng! Cha msing kwao walchokiona n kuanzisha utata kat ya jesh na kamishen ya vyuo vikuu kwa kuwachagua watu ambao wako tayar mafunzon vyuon!!!!!jesh kama hili linapenda migongano na litawezaje kutoa msaada kwa...
  11. Athanas kabujanja

    wanafunzi wote wa kidato cha sita tuungane kwa tamko moja kupinga maamuzi ya jkt......awamu ya 3

    nayakmbka saana maneno ya mh mbilinyi(sugu) alisema wanaopewa kuiongoza na kuisimamia elim wao wenyewe elim zao za kuungaunga saana. sasa watawezaje ona mbali watu awa?
  12. Athanas kabujanja

    wanafunzi wote wa kidato cha sita tuungane kwa tamko moja kupinga maamuzi ya jkt......awamu ya 3

    kiukwel m naona cha mcng zaid wanafnz tuhmize pia waziri kujiuzuru kwa ujinga anaoruhuxu kfanyka ktk nyanja ake na kuyaacha mpaka saiv ajaongea wala kutoa tamko lolote anadhihirisha udhaif na unyonge katika nyanja na wadhifa wake kiujumla na hivyo basi HATUFAI KATIKA ELIM ENDELEVU
  13. Athanas kabujanja

    Akili za wanawake bwana!

    mambo ya hom na ofisin yatenganishwe!ugomv ule ni wakijamii na sio kikaz hivyo hakpaswa kusema.
Back
Top Bottom