wanafunzi wote wa kidato cha sita tuungane kwa tamko moja kupinga maamuzi ya jkt......awamu ya 3

kiukwel m naona cha mcng zaid wanafnz tuhmize pia waziri kujiuzuru kwa ujinga anaoruhuxu kfanyka ktk nyanja ake na kuyaacha mpaka saiv ajaongea wala kutoa tamko lolote anadhihirisha udhaif na unyonge katika nyanja na wadhifa wake kiujumla na hivyo basi HATUFAI KATIKA ELIM ENDELEVU
 
kiukwel m naona cha mcng zaid wanafnz tuhmize pia waziri kujiuzuru kwa ujinga anaoruhuxu kfanyka ktk nyanja ake na kuyaacha mpaka saiv ajaongea wala kutoa tamko lolote anadhihirisha udhaif na unyonge katika nyanja na wadhifa wake kiujumla na hivyo basi HATUFAI KATIKA ELIM ENDELEVU


Acha nikamlete waziri SHUKURUNI KAJAMBWA,
nilimuacha kuleee MMU anaomba msaada kwa wana.mmu eti mkewe kamnyima PAPUSHKA
 
nayakmbka saana maneno ya mh mbilinyi(sugu) alisema wanaopewa kuiongoza na kuisimamia elim wao wenyewe elim zao za kuungaunga saana. sasa watawezaje ona mbali watu awa?


Sugu yupi...?
Au ndo yule ----- aliyeimbaga mitusi (anti virus) kumkejeli ruge wa clauz....
au ni yule mwanamasumbwi wa bungeni....
jamani lile ni liboya tu linaelea mpaka kwenye hewa...
 
Hiv huko kambini kuna watoto wa wahnd na waarab kwel?maana kwenye mambo mengne wao ni watanzania lakn mambo ya jesh cwaon kabsa hata kwenye hzo post cjaona akna pratmesh, na akna patel kabsa ni wakna sie tu
 
Hiv huko kambini kuna watoto wa wahnd na waarab kwel?maana kwenye mambo mengne wao ni watanzania lakn mambo ya jesh cwaon kabsa hata kwenye hzo post cjaona akna pratmesh, na akna patel kabsa ni wakna sie tu


Uliza mtu aliyeenda jkt kanembwa 8241st intake....

tulikua na binti wa kiispaniola..
alkua anaitwa 'EMELIANA'

kama muispanyola kaenda sembuse hao wapenga makamasi kwenye mashati...
 
Jeshi sigusi bora nipige tempo kwanza, jkt na tcu hivi wako nchi tofauti? Naingia chuo kama kawaida wasituzingue washenzi hawa,
 
inatakiwa kutoa tamko moja la wanafunzi kidato cha sita, na sio kuacha nidhamu za uoga tumezungushwa vya kutosha this year....waziri wa elimu yuko waap kutoa tamko.
jaman cha ajabu zaid wakat wazir wa Ulinzi anatangaza bungen kuwa kuna awamu had 4 na Mawazir wa Elimu walikuwepo bungen wanasikia kabisaaa lakn hawakutoa tamko lolote..
'damn i hate politics.........'
 
jaman cha ajabu zaid wakat wazir wa Ulinzi anatangaza bungen kuwa kuna awamu had 4 na Mawazir wa Elimu walikuwepo bungen wanasikia kabisaaa lakn hawakutoa tamko lolote..
'damn i hate politics.........'


Yani kama ningekuwa mjengoni on the red seats, ungeniona natoa mikono mfukoni, naanza kupiga zile meza, ishara ya kukubaliana na waziri wa ulinzi..
wewe ulikua unataka waziri wa elimu aseme nini..?
Nakati jkt walishatoa ratiba ya kuwapokea vijana waliomaliza form 6 kwa awamu nne tofauti, nzuri zaidi walianalyze hadi mtiririko wa miezi kati ya wanaoenda na wanaorudi...

Your eminance Jen. Mwamunyange, naomba ulivalie njuga hili swala, vijana waende wapate mafunzo, lasivo jeshi letu MAKINI litadharaulika...

NB: jeshi hakuna siasa
. Jeshi hakuna double standard, kwanini wengine tuende na wengine wasiende..?
 
Nakuunga mkono,kama vp tujiorganise tuliianzishe kugoma,hatuwez kuvumilia huu upuuuz


Acha utoto wewe NEYYYO...

sisi enzi zetu tulikua tunakaa kule mwaka mzima tunalitumikia taifa,tulikua tunapoteza almost one and a half year, pindi tumalizapo form 6....
kwamba muanzishe mgomo:
I'm exhilarately waiting to see you guys playing that cranky drama....
 
Last edited by a moderator:
elimu kwanza ukakamavu baadae...


Inaonekana wewe ni crammer mzuri sana....
eti "elimu kwanza ukakamavu baadae"

hivi unajua maana ya elimu..?
Ni kitendo cha kupata ujuzi mpya, inaweza ikawa formal ama informal...

ni elimu gani unayoizungumzia wewe kama hata huko jeshini wanaitoa, tena jeshini unapata dabo dabo, elimu na ukakamavu
 
Back
Top Bottom