Aen Urner
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 358
- 351
Zikiwa zimebaki siku 6 majina ya waliochaguliwa kusoma undergraduate programs katika vyuo tofautitofauti kutangazwa rasmi,
Napenda kutumia thread hii kuwakaribisha applicants wenzangu kutoa wishes zao kuhusu chuo na program ambayo wangependa kuchaguliwa siku ya tarehe 2/10/2017 na siku hiyo iwe siku ya screenshots za admission kwenye huu uzi na kumshukuru mungu kwa kutimiza ndoto zetu.
Post ya kwanza katika thead hii itakuwa yangu, karibu sana.
Povu linaruhusiwa, Matusi si Ustaarabu!
Napenda kutumia thread hii kuwakaribisha applicants wenzangu kutoa wishes zao kuhusu chuo na program ambayo wangependa kuchaguliwa siku ya tarehe 2/10/2017 na siku hiyo iwe siku ya screenshots za admission kwenye huu uzi na kumshukuru mungu kwa kutimiza ndoto zetu.
Post ya kwanza katika thead hii itakuwa yangu, karibu sana.
Povu linaruhusiwa, Matusi si Ustaarabu!