Hapana Mkuu kwakua dawa hiyo ina paraquat kama alivyosema hapo awali ukipiga kwenye maharage hapo utaua kila kitu kuanzia nyasi Hadi maharage yenyewe. Kiufupi hiyo NI kama roundup
Wapo Mkuu tenah hasa hasa uswahilini. kuna kipindi nilikua naishi Mbeya maeneo ya isanga ndani ndani hivi. Mahali nilipokua naishi vijana walikua Wana vuta Sana Wd siku moja alikuja kijana mmoja akasema yeye unajiita 26 life ila haina maana kama ya nyandwi tozi. Nikamuuliza sasa kwanini...
Wakuu Msaada tafadhari, kuna mtu nilimfungulia ACC Ajira portal lakini nimefika mwishoni kwenye Ku preview CV naona tarehe ya kuzaliwa IPO ambayo siyo yake. Tarehe inasoma 1/01/1970 . Na edit vipi hapa na sioni sehem ya kueditia tarehe ??
Mkuu sasa kama spray au perfume zikisambazwa bure huoni kama ndiyo itakua hatari zaidi. Sababu kila mmoja atakua ananukia harufu yake, sasa patatosha hapo ....??
Thread hii haipo kwaajili ya kupotosha au kuhamasisha imanipotofu dhidi ya H.I.V. UKIMWI upo na unaua!
Wapo baadhi ya watu ambao walishawahi kupata H.I.V Lakini Baadae wakaja kupona. Wengine huweka wazi Lakini wengine hawaweki wazi. Wengi wao hupona kwa Kutumia dawa za asili na wengine kwa njia...
Kopo lake nilishalitupa tayar. Lakini pale kwenye kopo limeandikw maelezo kua dawa inatibu mfumo mzima wa mkojo, waliandika magonjwa mengimengi . Ilikua UTI sugu, Gono, Fangas N.k mengine siyakumbuki.
Mkuu shukuru hata wewe umetumiwa mzigo wako. Kuna wengine hat huo mzigo hawapati na pesa yao inapigwa. Kiufupi bongo waaminifu mitandaoni ni wakutafuta na tochi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.