Msaada: Dawa ya fangasi

Msaada: Dawa ya fangasi

Kopo lake nilishalitupa tayar. Lakini pale kwenye kopo limeandikw maelezo kua dawa inatibu mfumo mzima wa mkojo, waliandika magonjwa mengimengi . Ilikua UTI sugu, Gono, Fangas N.k mengine siyakumbuki.
Shukrani mkuu
 
Back
Top Bottom