Recent content by Atabase Agaya

  1. Atabase Agaya

    Shule la Old Tanga inateketea kwa moto muda huu

    Kuna kitu imechanganya hapa. Unafikiri shule inayoitwa 'Shauri Tanga' lazima iwe mkoani Tanga? Shule ya Shauri Tanga ipo mkoa wa Kilimanjaro, wilaya ya Rombo, nadhani ndiyo unayosemea hapa.
  2. Atabase Agaya

    Shule la Old Tanga inateketea kwa moto muda huu

    Ni shule mbili tofauti, Old Tanga ipo katikati ya mji wa Tanga jirani na NMB Mkwakwani branch au opp Mkwakwani stadium. Tanga tech iko nje kidogo ya mji.
  3. Atabase Agaya

    TCU: Maombi ya kusoma "Degree" vyuo kikuu kufanyika Direct katika Vyuo husika

    Wakuu hapo kwenye table, ktk Equivalent qualification - S/No 5, (v) naomba kueleshwa kuhusu 'a distinction for unclassified diplomas and certificates'. Hii ina maana gani?
  4. Atabase Agaya

    Ni Bahati Mbaya, Mungu amepanga/alipanga:Hizi kauli zipigwe marufuku

    Asante mkuu kwa facts! 88% of all accidents are caused by unsafe acts of people. 10% by unsafe conditions. 2% unavoidable - Acts of God - Engineer Herbert W. Heinrich.
  5. Atabase Agaya

    Halikuwezekana huko nyuma ila Waziri Ndalichako ameliweza, apewe tuzo ya heshima mapema tu!

    Promo nyingine hazifai kabisa mkuu! Yaani mtu anafanya uchunguzi ktk shule mbili au tatu hivi za DSM alafu analeta conclusion yake hapa!
  6. Atabase Agaya

    Tusishangae ya Karugendo, Padre wa kanisa katoliki anaweza "kuacha" Upadre na kuamua kufunga ndoa

    Asante barafu kwa kutoa darsa zuri. Umenikumbusha sakata la ex bishop Emmanuel Milingo wa Lusaka Zambia.
  7. Atabase Agaya

    The Al-Qaeda Job Appl. Form - Propaganda Za USA?

    Salaam wana JF! Kichwa cha habari chajieleza. Fomu hii haina tofauti sana na application forms tulizozoea kuona huku kwetu. Hapa ninamaanisha personal details za mwombaji. Form hii inasadikika ilichukuliwa pamoja na rundo la documents nyingine zaidi ya 100 pale timu ya Navy Seal ya USA...
  8. Atabase Agaya

    Mbunifu wa bunduki aina ya AK 47, Mikhail Timofeyevich Kalashnikov

    Ushboy, huna jipya! Wale wavivu wa kuingia mitandaoni ndiyo watakuwa hawajui history ya AK-47! Alafu huyo Mikhail T. Kalashnikov umesema amefariki juzi? Tukio la 23 December, 2013 unawezaje kuliita la juzi?
  9. Atabase Agaya

    Nini asili ya neno 'Zeluzelu'?

    Huna uhakika mkuu kidole? Mbona neno Etiology haujakosea na kuandika Etiorogy?
Back
Top Bottom