Jumia/ kupatana ya kitanzania itakuwepo tu soon, naona sahivi zipo nyingi zinaanzishwa na waTanzania, itatoke moja hapo itapenya.
Facebook/ twitter ya kitanzania hapa naona bado maana inalegalega mno, wapo wengi tu wenye uwezo wakutengeneza site kama hizo na wala sio vigumu kuzitengeneza...
Kuna jamaa anaitwa Danlok huwa ana formula yake anaita "Wealth triangle".
Yani inastage 3.
1. High income skill 2. Scalable business 3. High income investment.
Hilo swala la nyumba za kupangisha ni stage ya 3.
Uandishi matangazo...maandishi yana nguvu pale yanapotumiwa, kumshawishi mteja anunue huduma au bidhaa.
Kuna watu/wafanyabiahara na wajasiriamali wengi wanatumia fedha nyingi kujitangaza mitandaoni ilikupata wateja, lakini matokeo yake yanakua si sawa na vile ametumia pesa.
Wengine wamekua...
Habari ndugu wananchi,.
Kitu kigumu uwa ni kupanga ratiba, kazi yakuitekeleza huwa sio ngumu sana kama ukipanga ratiba inayotekelezeka.
Hapa nimekusaidia kupanga ratiba ya wiki nzima nini unapaswa kupost kwa biashara yoyote ile.
Siku 2: jumatatu na jumanne ni kwaajili ya wateja, hapa fikiria...
Tony-stark, Superhuman wapo wakutosha, wengine wanaruka na uongo usiku huko daily.
Bila kusahau kina Elon Musk a.k.a Tony Stark nawalio watengeneza hizo A.I...
Hao A.I wakituzingua tutashinda tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.