Mtu mwenye akili kidogo ndo ataamini marekani hawezi kushinda vita hii , lakini sisi wenye akili kubwa tunaamini marekani ana uwezo wakushinda vita hii , alichokifanya alimchokoza Iran ili kujua amekaaje ili akifanya mission amalize kabisa na bahati mbaya amedeal na Kiongozi aliyeaminika na...
Watanzania kwa hili mama tumsifu lakini kwanini afanye kwa mmoja na wangapi wanatelekezwa ? Yeye kama Rais ana mpango gani na watoto kama huyo Grace Samia ?
Unapohisi una ngoma 🤣🤣🤣 daah yaani watu wanazungumzia ngoma tu , mbona husemi kuhusu HEPATITIS B ambayo ni dangerous pia na inaambukizwa kwa ngono vile vile , pima magonjwa yote hayo mawili HIV na Hepatitis b , subiri kwa siku 90 nenda kwenye vipimo sawa , na hepatitis B nenda kapime kipimo...
Lakini yote kwa yot funga kazi ni HIV katika magonjwa yote uliyoyataja , HIV ni source ya magonjwa mengi yaani ikikupata inaenda moja kwa moja kushambulia kinga ya mwili wako , hepatiitis nayo inashambulia mfumo wa ini , kiufupi tuwe makini , HOMA YA INI INA CHANJO , HIV HAINA CHANJO KAMWE .
Kiukweli nakaribia kuacha kazi ,nipo kwenye sekta ngumu ya ulinzi, nafanya kazi na kampuni ya SGA SECURITY na kuachishwa ni haraka sana kama itatokea shida kazini , sasa nachojiuliza je kama nina million 04 nitasubiri mpaka mwaka na nusu ?
Kipindi cha Magufuli nchi yetu ilikuwa shwari hata kama kulikuwa na ukandamizwaji wa haki , kwa Samia leo hii kuna ukandamizwaji wa haki, pia kuna uhuni mwingi ambao kila mwenye akili ameona Tanzania inaelekea pabaya sana .
Mimi hata kama nimepewa maelekezo na mtu mkubwa wa serikali kiukweli sipo tayari kuipindisha sheria kwa kulinda maslahi yangu binafsi , nitainyoosha sheria hata Nikikoswa kazi naamini nchi itakuwa imeona nimetenda haki .
Hakimu wa leo amethibitisha Tundu Lissu hana hatia .
Wazo langu Jaji mkuu alipaswa achaguliwe na TLS, na siyo Rais wa nchi hii , watu walipaswa wakae kumchagua msomi ambaye wanaamini anaijua sheria na anaweza kuitendea haki , vivyo hivyo Mahakimu wangechaguliwa na TLS ili kupata Mahakimu wenye uwezo mkubwa na wenye kufanya kazi kwa maamuzi ya...
Kuwa na kazi havihusiani kuwa na akili kubwa, Lissu amepiga parefu sana pia Wakili wa Serikali namuona kama sheria imemshika haiwezi .
Nchi ilipaswa itumie mtu makini kama TUNDU LISSU , anatufundisha sheria inavyofanya kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.