Pesa hujibu mambo yote lakini tukumbuke unaweza kuoa ukiwa na pesa lakinj pesa ikaja kuisha ukiwa na mke ndo ukaanza upya kuitafuta , hapa point yako ni hii OA ukiwa umeshajipanga kimaisha.
Shida ilianzia kwa DED alifeli kutembea na Kijakazi , alichopaswa yy nikutafuta nje na nyumba yake , ila mke wa DED nae hajielewi alipaswa atulie ale unga .
Nchi yetu hii ni ngumu sana , pesa kama zinaibiwa mbona wahusika hawachukuliwi hatua kali, mtu anaamua kuvurunda akiamini sheria ya kumnyoosha haifanyi kazi. Ndo tatizo linapoanzia . Udhoefu si kitu
Hakuna upungufu wa nguvu za kiume baali wanawake wameonjwa sana na wanaume wameonja sana , swala hili limeibua mijadala mingi , mwanamke anaolewa akiwa tayari ashaonjwa na wanaume kibao na maumbile tofauti tofauti na wenye nguvu tofauti tofauti , sasa akiolewa na mwenye uwezo mdogo ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.