Hakuna maisha baada ya kifo , ukifa umemaliza yote yakupasayo kwahiyo asitokee mtu akakudanganya etii kuna sehemu wanakwenda , hakuna bali wanaoza nakubakia mifupa mitupu.
Sisi watumiaji wa Android tupite kama tunaaga mwili wa marehemu , mada hii haituhusu , ungelikuwa na itel ningelikushauri chakufanya .
Sisi wa simu za laki moja na ishirini tuna raha kweli kweli.
Hawataweza niamini hakuna sekta ngumu kama sekta ya afya inahitaji serikali imara, lakini serikali hii ina mzigo mkubwa kuliweka pamoja taifa lililopotea siyo kazi rahisi.
Wazungu wamejaaliwa roho nzuri na yenye utu ndani yake , Mgodi wa Geita unaongozwa vema sana na wanajua kutenda haki bila upendeleo , ila wasiwe makaburu maana wanaroho mbaya sana , ukifanya kosa hata kama ni kadogo huwa kakubwa na mbaya zaidi wazungu sidhani kwao kama ni masikini , ila wachina...
Hakuna swali litakalomtia hatiani , sema serikali kama ilipanga kumhukumu itamhukumu ila itakuwa FEDHEHA KUBWA kwa Taifa lililopoteza matumaini , ni vema wafanye maamuzi kwa kutumia akili ili kuliokoa Taifa lililopoteza matumaini .
Yangu ni hayo na yanapaswa kuzingatiwa .
NB. HAKUNA MARIDHIANO...
Chanuo anadate na yeyote haangalii hata ustar 🫥🫥🫥 kikubwa mfike bei asee kuanzia shilingi elfu 30k , kuna jamaa yangu wa mining alimleta kwa booking akaila vema.
Ukute yuko kizuizini na ukute barua yenyewe kaandikiwa , kuna watu wamemkamata kwa mabavu na kumweka chini ya ulinzi maana Warioba anasema hata simu zake hazipatikani , Viongozi wakitanzania wamefeli pakubwa ila matatizo yote aliyaanzisha Magufuli lakini hawa waleo wamedhidisha asee , kuua ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.