Recent content by ashomile

  1. ashomile

    Mpaka sasa Marekani hajaonyesha silaha yoyote mpya katika vita yake na Iran

    Mtu mwenye akili kidogo ndo ataamini marekani hawezi kushinda vita hii , lakini sisi wenye akili kubwa tunaamini marekani ana uwezo wakushinda vita hii , alichokifanya alimchokoza Iran ili kujua amekaaje ili akifanya mission amalize kabisa na bahati mbaya amedeal na Kiongozi aliyeaminika na...
  2. ashomile

    Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

    Watanzania kwa hili mama tumsifu lakini kwanini afanye kwa mmoja na wangapi wanatelekezwa ? Yeye kama Rais ana mpango gani na watoto kama huyo Grace Samia ?
  3. ashomile

    Nahisi kuambukizwa UKIMWI na mwenza wangu

    Unapohisi una ngoma 🤣🤣🤣 daah yaani watu wanazungumzia ngoma tu , mbona husemi kuhusu HEPATITIS B ambayo ni dangerous pia na inaambukizwa kwa ngono vile vile , pima magonjwa yote hayo mawili HIV na Hepatitis b , subiri kwa siku 90 nenda kwenye vipimo sawa , na hepatitis B nenda kapime kipimo...
  4. ashomile

    Starehe ya dakika 5 isikufanye ujutie maisha yako yote

    Lakini yote kwa yot funga kazi ni HIV katika magonjwa yote uliyoyataja , HIV ni source ya magonjwa mengi yaani ikikupata inaenda moja kwa moja kushambulia kinga ya mwili wako , hepatiitis nayo inashambulia mfumo wa ini , kiufupi tuwe makini , HOMA YA INI INA CHANJO , HIV HAINA CHANJO KAMWE .
  5. ashomile

    Starehe ya dakika 5 isikufanye ujutie maisha yako yote

    Hivi UKIMWI na Hepatitis B vina utofauti gani asee ?
  6. ashomile

    Sheria ya fao la kujitoa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii ni ya kikatili sana

    Kiukweli nakaribia kuacha kazi ,nipo kwenye sekta ngumu ya ulinzi, nafanya kazi na kampuni ya SGA SECURITY na kuachishwa ni haraka sana kama itatokea shida kazini , sasa nachojiuliza je kama nina million 04 nitasubiri mpaka mwaka na nusu ?
  7. ashomile

    VR inazidi Kuangaza juu ya Polepole inasemekana ni mwizi 2015 na pia mtekaji mkubwa

    Kipindi cha Magufuli nchi yetu ilikuwa shwari hata kama kulikuwa na ukandamizwaji wa haki , kwa Samia leo hii kuna ukandamizwaji wa haki, pia kuna uhuni mwingi ambao kila mwenye akili ameona Tanzania inaelekea pabaya sana .
  8. ashomile

    Biashara ya utapeli inalipa?

    Nchi inaongozwa na familia moja .
  9. ashomile

    Polepole anahitaji msaada wa matibabu kuliko kumshangaa

    Wewe na Slow Slow nani apuuzwe ? Hapa ni heri tupuuze wewe uliyetuandikia upuuzi wa aina yake , Pole Pole ameshafanya toba na sisi tumemsamehe .
  10. ashomile

    Kwa mujibu wa Mo Dewji alisema hisa 49 za Simba zina thamani ya Bilioni 20 na 'alizinunua'. Sasa kama keshatumia Bilioni 87 mara nne ya shares zake

    Mimi ni MwanaSimba Lakini MO DEWJI ni Mpigaji , yaani anatudanganya kaweka mabillion yote hayo alafu wachezaji wa hovyo namna hiyo ? ***
  11. ashomile

    Nimemuangalia yule Mwanasheria na Hakimu nimebaki nacheka tu

    Mimi hata kama nimepewa maelekezo na mtu mkubwa wa serikali kiukweli sipo tayari kuipindisha sheria kwa kulinda maslahi yangu binafsi , nitainyoosha sheria hata Nikikoswa kazi naamini nchi itakuwa imeona nimetenda haki . Hakimu wa leo amethibitisha Tundu Lissu hana hatia .
  12. ashomile

    Nimemuangalia yule Mwanasheria na Hakimu nimebaki nacheka tu

    Wazo langu Jaji mkuu alipaswa achaguliwe na TLS, na siyo Rais wa nchi hii , watu walipaswa wakae kumchagua msomi ambaye wanaamini anaijua sheria na anaweza kuitendea haki , vivyo hivyo Mahakimu wangechaguliwa na TLS ili kupata Mahakimu wenye uwezo mkubwa na wenye kufanya kazi kwa maamuzi ya...
  13. ashomile

    Nimemuangalia yule Mwanasheria na Hakimu nimebaki nacheka tu

    Kuwa na kazi havihusiani kuwa na akili kubwa, Lissu amepiga parefu sana pia Wakili wa Serikali namuona kama sheria imemshika haiwezi . Nchi ilipaswa itumie mtu makini kama TUNDU LISSU , anatufundisha sheria inavyofanya kazi.
Back
Top Bottom