Ukifanikiwa wanakukopa, sijui ni nini hii?

Ukifanikiwa wanakukopa, sijui ni nini hii?

Bin Shaib

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,434
Reaction score
1,363
Wapendwa habari ya majukumu ya kulijenga Taifa letu la Tanzania. MUNGU ni mwema kwetu,hakika anatupigania usiku na mchana,,

Maada:
Nimekaa nikijiuliza, kwanini nikianza kupata pesa mfulululizo ama kiasi fulani ambacho unasema angalau,unashangaa unapigiwa simu na mtu mnaefahamiana au ndugu anasema umkope kiasi atakachosema atakurudishia ,pengine baada ya wiki moja mbele.

Yaani huwa najiuliza kwanini inanitokeaga,ama nakwa baadhi yenu ipo hivyo?
Je,ni kwanini inakuwa hivi?
 
Wasaidie mkuu, kwa pale unapoweza tu.. usije kujitoa sana. Toa ambacho unaweza kuafford kupoteza

Kuna jamaa nilimuazima pesa mwezi wa Pili. Hadi leo aisee, na yupo comfortable kabisa as if nilimpa bure. Namimi simwambii kitu. Atakuja kujaa tu tena
Ooh pole mkuu,,,,,halafu Huwa kuna wengine anaweza kuja kuazima Elfu moja anakwambia nakurudishia nikipata change halafu anakauka,,me kuna mdada tumepanga nae hapa napoishi aliniazima hivyo amekausha mpaka sasa anajua la willbda nimesahau,,,,namsubiri tu siku akiingia namkumbusha.
 
Wapendwa habari ya majukumu ya kulijenga Taifa letu la Tanzania. MUNGU ni mwema kwetu,hakika anatupigania usiku na mchana,,

Maada:
Nimekaa nikijiuliza, kwanini nikianza kupata pesa mfulululizo ama kiasi fulani ambacho unasema angalau,unashangaa unapigiwa simu na mtu mnaefahamiana au ndugu anasema umkope kiasi atakachosema atakurudishia ,pengine baada ya wiki moja mbele.

Yaani huwa najiuliza kwanini inanitokeaga,ama nakwa baadhi yenu ipo hivyo?
Je,ni kwanini inakuwa hivi?
Fanikisha Yako kwanza
 
Ukisaidia mtu ndiyo pesa inaisha au ndiyo baraka huongezeka unajikuta unakuwa kiuchumi hata ukidhulumiwa unajikuta unapata zaidi unasahau
Inategemea na unayemsaidia,wengine ukiwasadia tu ni chuma ulete,pesa unashangaa unapata lakini huzioni,usipende kumsaidia kila kiumbe
 
Kama umewahi kuwasaidia hapo nyuma, unakuwa umeweka precedent. Watu wanajua wewe ni mtu mwenye kind heart, hivyo kukufuata kwao ni kwa sababu wanajua uwezekano wa wewe kusema hapana ni mdogo.
Hili suala linanitesa sana kwa Ndugu na baadhi ya watu ninaofahamiana nao mbaya zaid hadi Maza house kaanza huu mchezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom