Experience yangu kwa kilimo cha tikiti: Nililima ekari moja na nusu, niligawa batch mbili katika mpando ilipishana kwa wiki. batch ya kwanza nilitoa 2.5 tones, good thing ziliwiva vizuri. Nilipeleka soko la sterio. Bad thing, aisee pale pana magumashi sana kwa madalali + matikiti yalikua mengi...