Kuna aliyewahi kupata kazi au kuitwa kwenye usaili kupitia Brighter Monday?

Mimi nimekua nikituma maombi ya kazi mara kwa mara kupitia website yao lkn sijabahatika hata kuitwa kwenye interview hata moja, na kazi zote nnazo omba ni zile zinazoendana na sifa zangu kabisa..

mpaka Nime anza kuhisi labda ni website ya ujanja ujanja tu
Binafsi mie ni wiki kama tatu ivi zimepita kuna job niliomba na last wiki tulifanya interview
 
Mimi nimekua nikituma maombi ya kazi mara kwa mara kupitia website yao lkn sijabahatika hata kuitwa kwenye interview hata moja, na kazi zote nnazo omba ni zile zinazoendana na sifa zangu kabisa..

mpaka Nime anza kuhisi labda ni website ya ujanja ujanja tu
Mostly kazi wakitangaza halafu wakitaka uapply kupitia website yao hapo kupata sahau, ila wakiweka adress ya muajiri hizo unaweza kupata
 
Zoom nilipigiwa simu, baada ya kutuma CV yangu na kuanza kunegotiate mshahara, niliwaambia kiasi cha mshahara ninao uhitaji, wakaniambia watanitafuta baada ya hapo kimya.Nimeendelea kutuma zoom karibu miaka mitatu naona kimya, zaidi ya kupokea email zao za matangazo kupitia, email yangu nikajiondoa huko zoom na baadaye bright Monday naona kama wazushi, ila huwaga na apply zile wanazoweka contact zao.
 
Habari zenu wanakujukwaa, samahani naomba kuuliza hivi kuna mtu aliewai kupata kazi au hata kuitwa kwenye interview kwa kupitia website ya brighter Monday?
Ukiangalia Pale Kwenye Web Yao Utaona Kuna Membership Ya Free Na Ile Ya Kulipia 9000 kwa Mwezi!Nadhani Kama Uko Free Pale Basi Cv yako Haiwafikii Mabosi Juu Ukiapply ila Kama ni member ambaye Unalipia 9000 Kila Mwezi Ungeitwa Kitambo Sana!Jamaa Wanafanya Biashara
 
Unamtozaje mtu 30,000 as premium membership wakati hana kazi na wala hata pesa ya kula hana..wangefanya kama recruitment agency wengine mtu apate kazi kupitia wao ndio walipane na mwajiri husiku..Kwa ufupi brightermonday ni usanii mtu..
Kazi nyingine wanazichukua kutoka source nyingine kama linkedin na blogs kisha wanasema ni clients wao.
Omba ajira kwa zile mwajiri ameweka contact zake..zaidi ya hapo ni usanii mtupu..
 
Brighter monday walishawai kunipigia simu nikapigwa interview apo apo live ila feedback sikuwai pata..Hao Zoom ndo cjawai hta mara moja
 
Brighter Monday sijawahi kuitwa kabisaaa, na Zoom nao kuna tangazo nililiona nikatuma application dooh, nikatapeliwa Tsh 4500/= aisee sina hamu na hizo site zao
 
Zoom nilipigiwa simu, baada ya kutuma CV yangu na kuanza kunegotiate mshahara, niliwaambia kiasi cha mshahara ninao uhitaji, wakaniambia watanitafuta baada ya hapo kimya.Nimeendelea kutuma zoom karibu miaka mitatu naona kimya, zaidi ya kupokea email zao za matangazo kupitia, email yangu nikajiondoa huko zoom na baadaye bright Monday naona kama wazushi, ila huwaga na apply zile wanazoweka contact zao.
Kweli kbs ndugu Jose hao zoom nimatapeli wananegotiate salary wkt ajira na bado mtu anakuambia first salary nimpe yy asee matapeli pmj na hao bright Monday
 
Back
Top Bottom