Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,400
Mkuu Chasha heshima yako kamanda.
Mimi kwa kuishi ughaibuni nimegundua baadhi ya bidhaa ambazo zikishughulikiwa kikamilifu kwenye branding na packaging zinaweka kumtoa mtu.
1. Tumbaku wazungu bado wanapiga sana sigara
2. Kahawa- kahawa bado inauzwa sana na maduka migahawa mikubwa kama starbucks, costa café na wengine.
3. Vinyago vya aina mbalimbali.
4. Bidhaa zingine kama vikapu ambavyo wazungu akina mama wanapenda kutumia kufanya shopping ila view vimeshonwa kwa ufundi wa maana.
Vingine ntaendelea.
Mimi kwa kuishi ughaibuni nimegundua baadhi ya bidhaa ambazo zikishughulikiwa kikamilifu kwenye branding na packaging zinaweka kumtoa mtu.
1. Tumbaku wazungu bado wanapiga sana sigara
2. Kahawa- kahawa bado inauzwa sana na maduka migahawa mikubwa kama starbucks, costa café na wengine.
3. Vinyago vya aina mbalimbali.
4. Bidhaa zingine kama vikapu ambavyo wazungu akina mama wanapenda kutumia kufanya shopping ila view vimeshonwa kwa ufundi wa maana.
Vingine ntaendelea.