Je, ni biashara gani Mtanzania anaweza kuifanya nje ya nchi (export)?

Mkuu Chasha heshima yako kamanda.

Mimi kwa kuishi ughaibuni nimegundua baadhi ya bidhaa ambazo zikishughulikiwa kikamilifu kwenye branding na packaging zinaweka kumtoa mtu.

1. Tumbaku wazungu bado wanapiga sana sigara

2. Kahawa- kahawa bado inauzwa sana na maduka migahawa mikubwa kama starbucks, costa café na wengine.

3. Vinyago vya aina mbalimbali.

4. Bidhaa zingine kama vikapu ambavyo wazungu akina mama wanapenda kutumia kufanya shopping ila view vimeshonwa kwa ufundi wa maana.

Vingine ntaendelea.
 
Msaada kuhc soko la sembe(unga wa mahindi )kwa nchi kama Uganda...imekaaje hii wadau...???
 
Msaada kuhc soko la sembe(unga wa mahindi )kwa nchi kama Uganda...imekaaje hii wadau...???

Hiyo itakulipa sana kama una processing machines na pia unafanya packaging ya uzito mbalimbali mfano 5kg, 10kg , 20kg.
 
Cc Invisible hii thread muhimu sana katika kuwafumbua macho wabongo ili nao wafaidi masoko ya nje nimeona ni muhimu uka weka kama sticky thread.
Cha ajabu thread muhimu kama hii watu hawacomment..Wamejaa tu huko kwenye siasa kuanzisha thread za kuombea majanga yatokee TZ. Vitu kama hivi vya msingi ambavyo vinaweza kuwa na faida kwao binafsi na nchi yao hawana habari navyo
 
Bidhaa zingine ambazo mtu anaweza ku-export Ulaya:

1. Raw Skin na hii imegawanyika wanaweza kutaka tanned au iwe salted kulingana na aina za wanyama.

2. Ngozi yenye manyoya nazo zina grades

3. Mchele ambao unaweza kushindana na ule wa Mali Rice au Dragon Rice wa Thailand.

4. Korosho roasted au zilizokaushwa maana zingine zinatumiwa hadi kupikia vyakula kama pilau za aina mbalimbali, hizi zinaweza kuwa shelled au inshell.

5. Asali iwe nzito au laini.

Kuna nchi kama Uingereza unatakiwa uwe umejiandikisha kwenye mfumo wao wa uingizaji bidhaa unaitwa CHIEF System ambao bila huo hujaingiza kitu nchini humo.

Ni mfumo wa kudhibiti imports kutoka nje ya bara la Ulaya.
 
Mkuu Chasha heshima yako kamanda.

Mimi kwa kuishi ughaibuni nimegundua baadhi ya bidhaa ambazo zikishughulikiwa kikamilifu kwenye branding na packaging zinaweka kumtoa mtu.

1. Tumbaku wazungu badi wanapiga sana sigara

2. Kahawa- kahawa bado inauzwa sana na maduka migahawa mikubwa kama starbucks, costa café na wengine.

3. Vinyago vya aina mbalimbali.

4. Bidhaa zingine kama vikapu ambavyo wazungu akina mama wanapenda kutumia kufanyha shopping ila view vimeshonwa kwa ufundi wa maana.

Vingine ntaendelea.
HAO JAMAA KUFANYA NAO KAZI NI NGUMU AISEE HASA VYAKULA.MI BINAFSI HUWA NAWAGWAYA,BORA NIPIGE BUSINESS NA WATU WA ASIA MAANA WANA AFADHALI KULIKO HAWA WEUPE.
 
good thread!!!
kuna haja ya kuunganisha nguvu kwa hili tuweze fika mbali kama jirani zetu. wanao export tunaweza kushirikiana sisi wengine ni wakulima
 
Mkuu International Business ni biashara ngumu sana inayo hitaji kujipanga sana, ni tofauti sana na Domestic trade,

Kwa upande wa Bidhaa za ku export nje ziko nyingi sana ila kuna matatizo kadha wa kadha kama ifuatavyo

1. Quality- Mkuu kuingiza bidhaa Ulaya au Marekani si kitu cha mchezo kabisa hasa vyakula na ndo maana Ulaya na marekani tunauza Vinyago pamoja na Pamba, hii ni kutokana na sheria kari sana za maswala ya Ubora ili kuwalinda wananchi wao
- Kwenye swala la matunda kuna soko huko but kumeet quality standard yao ndo kazi pevu sana

2. Quantity- Mkuu quantity nayo niatatizo kubwa sana, kunawatu wengi wamepata masoko lakini kwenye quantity imekuwa kazi sana,kuna jamaa yangu alipata soko la mafuta ya alzeti lakini alishindwa kwa sababy ya qiantity, wanaweza kuambia wanataka tani laki 5 za mafuta ambayo hayajasafishwa ya alizeti, utazitoa wapi
- Mara nyingi qunatity nayo ni kikwazo kikubwa sana make wanataka in volume so inawawia vigumu kusaply

3. Competition- Tambua kwamba ukipata soko mfano la Matunda huko ulaya unakwenda kushindana na nchi za ASIA ambazo zinasifika kwa kulima matunda sana na mbogamboga, au unashindana na wakulima wa huko huko ulaya na asia

4. Vikwazo vya kibiashara- Kuna vikwazo vingi sana kwa upande wa kibiashara, mfano Jumuia ya ulaya wao wanalinda wazalishaji wao so wanaweka sheria kari sana na kodi kubwa kwa wanaoingiza bidhaa kutoka nje ya jumuia ya ulaya. marekani nayo ni hivyo hivyo,
-Ila Wanachama wa Jumuia ya ulaya wao wanauza bila shida ndani ya jumuia yao ni kama ilivvo kwa East Africa comunity

5. Ghalama za uzalishaji - Ghalama za uzalishaji huku Bongo ziko juu mno kiasi kwamba inakuwa vigumu ku export na still umeki profit,

- Kuhusu masoko, mkuu mara nyingi masoko unatakiwa utafute mwenyewe na usitegemee serikari ndo ikutafutie masoko na,


MASOKO YA NJE YANAWEZA PATIKANA KUPITIA NJIA HIZI

1. kupitia maonyesho mbalimbali ya kibiashara yanayo fanyika katika nchi hizo- haya maonyesho mara nyingi yanakutanisha wauzaji na wanunuzi so ndo moja ya maeneo mwafaka ya kupata masoko,

2. Kupitia website za kibiashara za makampuni mbalimbali

3.Ziara binafisi ya wewe mwenyewe kwenda kutafuta masoko, kwani hata wao huwa wanakuja kutafuta masoko huku kwetu directilly
Jamaaa unajua matatizo yote ila hujui hata suluhisho moja
 
Mkuu International Business ni biashara ngumu sana inayo hitaji kujipanga sana, ni tofauti sana na Domestic trade,

Kwa upande wa Bidhaa za ku export nje ziko nyingi sana ila kuna matatizo kadha wa kadha kama ifuatavyo

1. Quality- Mkuu kuingiza bidhaa Ulaya au Marekani si kitu cha mchezo kabisa hasa vyakula na ndo maana Ulaya na marekani tunauza Vinyago pamoja na Pamba, hii ni kutokana na sheria kari sana za maswala ya Ubora ili kuwalinda wananchi wao
- Kwenye swala la matunda kuna soko huko but kumeet quality standard yao ndo kazi pevu sana

2. Quantity- Mkuu quantity nayo niatatizo kubwa sana, kunawatu wengi wamepata masoko lakini kwenye quantity imekuwa kazi sana,kuna jamaa yangu alipata soko la mafuta ya alzeti lakini alishindwa kwa sababy ya qiantity, wanaweza kuambia wanataka tani laki 5 za mafuta ambayo hayajasafishwa ya alizeti, utazitoa wapi
- Mara nyingi qunatity nayo ni kikwazo kikubwa sana make wanataka in volume so inawawia vigumu kusaply

3. Competition- Tambua kwamba ukipata soko mfano la Matunda huko ulaya unakwenda kushindana na nchi za ASIA ambazo zinasifika kwa kulima matunda sana na mbogamboga, au unashindana na wakulima wa huko huko ulaya na asia

4. Vikwazo vya kibiashara- Kuna vikwazo vingi sana kwa upande wa kibiashara, mfano Jumuia ya ulaya wao wanalinda wazalishaji wao so wanaweka sheria kari sana na kodi kubwa kwa wanaoingiza bidhaa kutoka nje ya jumuia ya ulaya. marekani nayo ni hivyo hivyo,
-Ila Wanachama wa Jumuia ya ulaya wao wanauza bila shida ndani ya jumuia yao ni kama ilivvo kwa East Africa comunity

5. Ghalama za uzalishaji - Ghalama za uzalishaji huku Bongo ziko juu mno kiasi kwamba inakuwa vigumu ku export na still umeki profit,

- Kuhusu masoko, mkuu mara nyingi masoko unatakiwa utafute mwenyewe na usitegemee serikari ndo ikutafutie masoko na,


MASOKO YA NJE YANAWEZA PATIKANA KUPITIA NJIA HIZI

1. kupitia maonyesho mbalimbali ya kibiashara yanayo fanyika katika nchi hizo- haya maonyesho mara nyingi yanakutanisha wauzaji na wanunuzi so ndo moja ya maeneo mwafaka ya kupata masoko,

2. Kupitia website za kibiashara za makampuni mbalimbali

3.Ziara binafisi ya wewe mwenyewe kwenda kutafuta masoko, kwani hata wao huwa wanakuja kutafuta masoko huku kwetu directilly
Umejitahidi kuchambua vizuri sana mkuu,na hapa ndipo tunapokuja kuona tunahitaji kuwa na raisi mwenye dira na sio mkurupukaji na mwenye mawazo ya visasi na kukomeshana.

Imagine ndege moja ingeweza kujenga maabara ngapi za kilimo?walau tu kukawa na hata kanda zisizopungua 5 ambapo wakulima wangeweza kulima mazao yanayoendana na ardhi walizonazo ktk maeneo yao,Au pia magonjwa mbalimbali yangekuwa na tiba sahihi baada ya kujulikana tofauti na sasa wakulima wanabahatishabahatisha tu kwa kujaribu jaribu madawa.

Tunazalisha bidhaa za kilimo kwa gharama kubwa ukianzia kwenye vitendea kazi(mashine) makodi kibao kuanzia shambani hadi sokoni hapo bado wataalamu wachache ambao nao wana utaalamu mdogo na wanafanyia kazi maofisini ukitaka umpwleke shamba mpaka umtafutie usafiri.

Dah kweli mambo ni mwngi na muda ni mchache.(By Juma Kapuya)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom