Kama bado anasimamia na kulinda maslahi ya wakubwa hawezwi kukamatwa. Kama hatuna uwezo wa kumfanya chochote tuendelee kumlilia Mwenyezi Mungu, maana yezebeli Dhambi zake zimetimia mbele za Mungu.
Kuna mwalimu mmoja wa dini alisema uende jini mzee alikua anapita maana utembea kwa vimbunga viumbe hao wakizeeka, na akamdhuru mbwa huyo kwa kukausha sauti yake! Sikumwelewa kipindi kile alimaanisha nini kwakua elimu hiyo nilikua sinayo kabisa
Kuna siku kimbunga kilipita mitaa ya home, mbwa wetu akakifukuza huku akibweka sana, baadae kimbunga hicho kikatoweka,kuanzia hapo mbwa huyo akawa bubu yani habweki wala kutoa sauti yoyote mpaka mwisho wa maisha yake! Tulishangaa sana
Habari wana jamvi,
Kumekua na sintofahamu kwa wakazi wa wilaya ya kigamboni kuhusiana na kero ya kukatika kwa umeme kila siku na kila wakati kwa takriban wiki tatu au mwezi mmoja.
Tatizo hili linaathiri shughuli za kila siku za kujitafutia kipato na usumbufu mkubwa kwa wakazi wa meneo haya...
Habari wana jamii,
Kwa yeyote Mwenye taarifa zaidi walizochukulia wauguzi hawa wenye asili ya Bulgaria baada ya kuukumiwa Adhabu ya kifo na mahakama nchini Libya kwa kosa la kupandikiza virusi vya ukimwi kwa makusudi kwa watoto wachanga wa kilibya zaidi ya 400 Ila baadae WHO na nchi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.