Recent content by ARV

  1. ARV

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna mjinga mmoja wa hii timu atabisha.
  2. ARV

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Harrier anaconda inauzwa bei kitonga

    Hujajua magari wewe
  3. ARV

    JamiiForums Tanzania Kwenu Madalali wa magari kuna mdogo wangu ana 15m cash hapa anataka gari yake ya kwanza ili apate siti kwenye meza ya wakubwa zake akina sie

    Kwani ukisema ni wewe unahitaji hiyo gari utakufa? Eti "mimi sinunuagi used za tz".
  4. ARV

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mtanzania, umevuka miaka 35 na huna Passport upo kwenye list ya watu maskini

    Ahaa, kumbe kuwa na passport ni utajiri! Kumbe na mimi ni tajiri, sikujua. Ngoja waje wale Wakinga wenye magorofa kama uyoga pale Kariakoo tuone kama wana passport.
  5. ARV

    JamiiForums Tanzania Wanaume unaweza kudate na mwanamke above 25 years ambaye hana kazi wala chochote anachojishughulisha nacho?

    Tafuta hela, mwanamke hatakiwi kufanya kazi.
  6. ARV

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanaogopa kufa?

    Kwa sababu wanaogopa kufa. Bata wahed!
  7. ARV

    JamiiForums Tanzania Zingatia mambo haya kila unapoingia saloon kunyoa ama kusuka

    Nyie mliokulia vijijini mkija mjini mnatuletea visheria vyenu vya kujinga. Miaka yote tunapiga para kichwa hakuna cha fangas wala mba.
  8. ARV

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yaani Martinell ndio mchezaji wako wa kukushindia UEFA? Mmelogwa kenge nyie hamko sawa.
  9. ARV

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

  10. ARV

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

  11. ARV

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hawa Arse8 wanagombania kila kitu na wanakosa kila kitu.
  12. ARV

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sio laana tu, hawa ni "Misukule ya Wenger"
  13. ARV

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    NYIE KENGE MAJI....LEO USIKU TUNAENDA KUONGOZA LIGI.
  14. ARV

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Huyu kocha mbona na yeye anaanza kuwa mjinga kama Amorin. Yaani Maguire hayupo halafu unawaweka Dalot, Mainoo na Mbeumo nje. Hizi timu ndogo sio za kufanyia majaribio. Pengo la Maguire litatu-cost sana. Sikumbuki ni lini mara ya mwisho tulishinda mechi bila Maguire.
  15. ARV

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Anafungwa Chelsea analia Arteta
Back
Top Bottom