Tanzania wanakwambia “tunaongeza bundle” “lipa $1000 kabla ya kuupload vide YouTube”.
Alafu unataka tuseme Tanzania kuna watu sio mazombie?
Tanzania imejaa wapumbavu kuliko hata North Korea, magepu yapo makubwa soon hata Uganda itatuacha mbali. Tutabaki na slogan The shithole of East Africa
Korona ishammaliza sijui bado anawakuna nini. Ogopa sana mtu umepumbazwa akili kiasi kwamba aliyekupumbaza hadi baada ya kifo bado unaamini upumbavu wake. Report ya CAG inatosha kuonyesha zombie lilivyokua linawakamua watanzania, mnachotetea ni kijifly over na vindege vichache vinavyotia hasara...
Najua hizo nchi zilijengeaje vizuri kuliko wewe, ushamba unakusumbua.
Tatizo jiwe liliwalisha ushenzi na mlivyo vilaza mkawa mnamuona mtukufu. Mtu yeyote mwenye hata nusu ya ubongo anajua kabisa udikteta haufikishi mtu popote, unataka sample? Tanzania, North Korea, nchi nyingi za Afrika. Ovyo...
Kwa uongo aliotoa huyu mzee angekua nchi nyingine angekua hana kazi ila Tanzania kuna watu wanamuona mtu mwenye hekima mchapakazi.
Mzee ovyo tu amejaa ego na anatumia dini kudanganya watanzania.
Huyu mzee presentation yake kwa wanaoelewa kiingereza ni muhimu sana kuitazama. Ameonyesha matatizo tuliyonayo waafrika exactly. Ni aibu tulikua juu ya nchi nyingi za Asia kiuchuki miaka ya 1960 leo hii tupo palepale wao wamekua haraka mno. Waafrika mmelaaniwa Tanzania ina vilaza wengi mno
Genge la magu mna matatizo.
Mkataba wa bagamoyo ushatemwa usitegemee mama kurudi kusign. Angekua anasikiliza habari za mitandaoni huo mkataba hawezi saini, na leo yule kalio anaitwa sabaya angekua ashafukuzwa.
Ndege kuuzwa sio kitu kibaya, nchi haina hela na ndege zinazidi kuitia nchi hasara...
Haha mshahara mdogo upo, laki tano sio mshahara ni masihara. Hata mlinzi 270k kama kajenga basi kwa hela ya ujambazi pembeni ila muongo huu huo mshahara hujengi labda kama unaongelea kajenga banda la kuku. Tuwe wa kweli maisha yamepanda.
Unalinganisha ukimwi na corona?
Tumia akili, ukimwi unasambazwa kwa ngono, kufanya ngono sio rahisi kama kupumua, corona inasambaa kwa kupumua tu karibu na mtu mwenye corona, kwa hiyo corona ni more deadly, inaua zaidi ya 100% ya ukimwi.
Serikali ilitakiwa ionye watu, izuie mikusanyiko...
Hakuna mungu zote story tu za avengers zilitungwa na chizi miaka ya nyuma machizi wenzake wakafata alafu leo hii machizi wameongezeka wanaoamini huu upuuzi. Wengine tulimezeshwa huu ujinga utotoni tumekua akili zimefunguka.
Mungu angekuwepo na mwingi wa upendo asingeacha ujinga huu uliopo sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.