- Thread starter
- #101
Wewe uko nchi gani mkuu?Hivi kumbe wafanyakazi wa Tanzania mnaishi maisha magumu kiasi hiki !
Au ni mfanyabiashara
Wewe uko nchi gani mkuu?Hivi kumbe wafanyakazi wa Tanzania mnaishi maisha magumu kiasi hiki !
Punguza mashauzi maisha yako magumu sana mbonaHivi kumbe wafanyakazi wa Tanzania mnaishi maisha magumu kiasi hiki !
Haha mshahara mdogo upo, laki tano sio mshahara ni masihara. Hata mlinzi 270k kama kajenga basi kwa hela ya ujambazi pembeni ila muongo huu huo mshahara hujengi labda kama unaongelea kajenga banda la kuku. Tuwe wa kweli maisha yamepanda.Hapo hapo ofsini kwenu Kuna mlinzi wenu analipwa take home
270,000, amejenga, ana mke na anasomesha watoto watano.
My take: Hakuna mshahara mkubwa Wala mdogo, Ni suala la vipaumbele vya matumizi litakalowatofautisha mfanyakazi uyu na Yule kimaendeleo
Mshahara haujawahi tosha na haitatokea ukatosha
Kikubwa ni nidhamu yako ya pesa
Hakikisha hela yako ya mshahara inazlisha hela nyingine
540,000/- kubwa sana
Kwanza kubaliana nayo
Pili iwekee mipango na namna thabiti kabla hujaitoa bank
Zipo biashara nyingi sana mjini hasa kwenye majiji hayo ambazo mtaji wake ni mdogo sana
Kwa mfano
Nimetoka kazini saa 9.30
Saa 11 naingia kwenye banda langu la matunda ambalo limegharimu laki na nusu labda
Matunda ya elfy 20. Hapa ntazalisha 20 ngingine kabisa ambayo itakuwa nguzo muhimu ga pili 20*30
600
Hiyo na haitaji kodi ya tra wala halmashaur jipatue kitambulisho cha mjasiliamali uomdokane na kero za jiji
Dar arusha Dodoma maeneo mengi ya miji yanamsongamano mkubwa na ndio mtaji
Haha mshahara mdogo upo, laki tano sio mshahara ni masihara. Hata mlinzi 270k kama kajenga basi kwa hela ya ujambazi pembeni ila muongo huu huo mshahara hujengi labda kama unaongelea kajenga banda la kuku. Tuwe wa kweli maisha yamepanda.
Nishavuka kwenye kufanya biashara , mimi ni mwekezajiWewe uko nchi gani mkuu?
Au ni mfanyabiashara
Lakini pia mkuu ukitoka kazini 9:30 kwa mazingira ya DSM nyumbani ukiwahi basi ni saa 11 jioni hapo ubebe matunda ukapange road hiyo ni saa 1 usiku.Mshahara haujawahi tosha na haitatokea ukatosha
Kikubwa ni nidhamu yako ya pesa
Hakikisha hela yako ya mshahara inazlisha hela nyingine
540,000/- kubwa sana
Kwanza kubaliana nayo
Pili iwekee mipango na namna thabiti kabla hujaitoa bank
Zipo biashara nyingi sana mjini hasa kwenye majiji hayo ambazo mtaji wake ni mdogo sana
Kwa mfano
Nimetoka kazini saa 9.30
Saa 11 naingia kwenye banda langu la matunda ambalo limegharimu laki na nusu labda
Matunda ya elfy 20. Hapa ntazalisha 20 ngingine kabisa ambayo itakuwa nguzo muhimu ga pili 20*30
600
Hiyo na haitaji kodi ya tra wala halmashaur jipatue kitambulisho cha mjasiliamali uomdokane na kero za jiji
Dar arusha Dodoma maeneo mengi ya miji yanamsongamano mkubwa na ndio mtaji
Njoo katav uone vijana wadogo kabisa wanavyofa ya maajabuHaha mshahara mdogo upo, laki tano sio mshahara ni masihara. Hata mlinzi 270k kama kajenga basi kwa hela ya ujambazi pembeni ila muongo huu huo mshahara hujengi labda kama unaongelea kajenga banda la kuku. Tuwe wa kweli maisha yamepanda.
Mkitumia majina yenu yanandia mnajikuta hamjulikani kabisa masikinNishavuka kwenye kufanya biashara , mimi ni mwekezaji
Amejenga na ana familia, je anaishi kwa uhuru?Hapo hapo ofsini kwenu Kuna mlinzi wenu analipwa take home
270,000, amejenga, ana mke na anasomesha watoto watano.
My take: Hakuna mshahara mkubwa Wala mdogo, Ni suala la vipaumbele vya matumizi litakalowatofautisha mfanyakazi uyu na Yule kimaendeleo
Katavi sio jiji mkuuNjoo katav uone vijana wadogo kabisa wanavyofa ya maajabu
Unakuta mwl wa kawaida tu mshahara wa chini ya 540 yako Ila amejenga na anapangisha na
Watumishi wengi wamepanga nyumba za Walimu
Unakuta mlinzi anaendesha baiskeli kutoka chanika hadi posta njiani anakoswa na magari maisha magumuAmejenga na ana familia, je anaishi kwa uhuru?
Anaweza kuamua ale nini au atumie usafiri upi au mazingira ndio yanamwamuru?
Hebu kuwa na huruma basi
Mwajiri aliyetoa ajira zaidi ya 300 anawezaje kutofahamika ?Mkitumia majina yenu yanandia mnajikuta hamjulikani kabisa masikin
Kwi Kwi KwiNjoo katav uone vijana wadogo kabisa wanavyofa ya maajabu
Unakuta mwl wa kawaida tu mshahara wa chini ya 540 yako Ila amejenga na anapangisha na
Watumishi wengi wamepanga nyumba za Walimu
Ikifika zamu ya kutujadili sisi migambo tunaofanya kazi Posta(jijini) na kuishi Mbagala(Mkoani) nitatia neno. Na mshahara wetu ni laki mbili na nusu hadi laki 3.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
AmeeenHapo hapo ofsini kwenu Kuna mlinzi wenu analipwa take home
270,000, amejenga, ana mke na anasomesha watoto watano.
My take: Hakuna mshahara mkubwa Wala mdogo, Ni suala la vipaumbele vya matumizi litakalowatofautisha mfanyakazi uyu na Yule kimaendeleo
😁😁😁😁 kwamba hata uchumi wa kati hajaingia!Hautoshi kabisa. Labda kidogo kwa Mbeya unaweza kuwa na nafuu. Kwanza hapo kuna baadhi ya machinga, wauza Karanga, wapiga debe, mamalishe na 'wanyonge' wengine wanakuacha mbali sana.
Kwanza hapo hata uchumi wa kati unakuwa hujaingia. Mfano.