Watanzania wanataka Serikali ifanye nini zaidi ya kuwatahadharisha kuhusu COVID-19?

Umeelewa alichokiandika mleta uzi? Anauliza mnataka serikali ifanye kipi tofauti na kuwatahadharisha mjikinge wenyewe?
Ifanye Ka ilivyofanya Machi 2020 Kwa kuweka msisitizo wa kujikinga Kwa njia mbalimbali ikiwemo level seat ndani ya mabasi.
Iwakemee wale wote wanaowatolea vitisho watu wanaotoa tahadhari kwenye jamii na taasisi zao, mfano Makamu mkuu wa chuo kikuu huria.
Iwawajibishe viongozi wanaoamuru wajumbe wa vikao kuvua barakoa
 
Kwani mwaka jana wakati ndio umeanza, serikali ilifanya nini hadi wananchi wakaelewa na kufuata maelekezo?!!tuanzie hapo kwanza!ambacho kwa sasa hawataki kukifanya?serikali zote duniani zinafanya nini , hadi wananchi wao wote wamekuwa ni waelewa?!!SERIKALI LAZIMA ITIMIZE WAJIBU WAKE KWANZA!!unapo walaumu wananchi kwa upande mwingine sio sahihi?!!huko mahospitalini kuna sehemu zimetengwa kwa ajiri ya wagonjwa wa covid19?!!
Serikali ipi duniani imeshinda vita dhidi ya COVID-19?

Vita hii inaanzia mtu mmoja mmoja. Tofauti na UKIMWI ambao unamwambukiza mtu mmoja akiamua kutokutumia kinga, huu unambukiza wengi wasipofuata masharti ya kinga.

Hivyo wahusika wa sehemu za mikusanyiko warejeshe utaratibu wa kutakasa mikono na kuvaa barakoa
 
Nalazimika kuandika mada hii kwa uchungu na hasira kwa sababu mitandao ya kijamii, ikiwemo hii yetu ya JF, imejaa bandiko kuhusu korona (CIVID-19), zikiishutumu Serikali ati kwa kutokuchukua hatua stahiki za kupunguza, kama siyo kukomesha maambukizi.

Nani anahusika na uzembe huo kama siyo sisi wenyewe, wakiwemo waandishi hao wanaoshutumu Serikali na kutia hofu jamii.

Je, tumejiuliza ugonjwa wa UKIMWI, usiokuwa na tiba au chanjo, umeisha? Je, watu hawafi kwa UKIMWI? Je, nani anamsimamia mtu kutumia kinga dhidi ya maambukizi? Je, kuna sheria imetungwa inayolazimisha mtu kutumia kinga wakati wa tendo la ngono?

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imekuwa ikitoa tahadhari na maelekezo dhidi ya magonjwa yanayo ambukiza na yasiyo ambukiza. Wewe na mimi ni kwa kiasi gani tunafuata hayo? Au tunajali tiba kuliko kinga?

JF doctor tusaidie elimu ya kujikinga na magonjwa mbalimbali tuondokane na ujinga huu.

La sivyo, Wajinga ndio waliwao na wataondoka kwa ujinga wao wakidhani wao ni werevu.
Serikali mara zote imekiri uwepo wa UKIMWI tz lakini haitaki kukubali uwepo wa korona tz, mkuu wa nchi anaingia sokoni bila barakoa unategemea watendaji wake watavaa? Huko moshi kuna watu waliamua kujikinga mpuuzi mmoja akawavua barakoa
 
Ni kweli mkuu Watu wanalaumu serikali wakati ukitazama kwa makini utagundua serikali ya Tanzania inatakiwa ipongezwe kuliko taifa lolote kwenye janga hili la Corona.

Ila nilichojifunza wanaoilaumu serikali sio kwamba hawaoni jitihada za serikali katika hili bali ni wale waliozoea kupinga kila kitu... Unaweza kushangaa wakawa ndio walalamikaji wa kwanza endapo serikali ikitangaza lockdown nchi nzima.

Hawaeleweki wanachokitaka... Yani wapo kama wana mimba changa vile
Nani anataka lockdown? Mi nataka serikali ichukue hatua ilizochukua mwaka jana. Lockdown nehi"
 
Siku ambayo Magufuli atakapoanza kuvaa barakoa, na kutoa tahadhari then tutakua tumepiga hatua kuzuia transmission ya covid-19, yeye ndie alitangaza siku tatu za maombi,it means people are looking up to him,yeye ndie aseme next tufanye nini,kukaa kimya mkuu Rais hakusaidii hili janga sio la kutoka/kuisha kesho................. DO SOMETHING,.....................
 
Unalinganisha ukimwi na corona?
Tumia akili, ukimwi unasambazwa kwa ngono, kufanya ngono sio rahisi kama kupumua, corona inasambaa kwa kupumua tu karibu na mtu mwenye corona, kwa hiyo corona ni more deadly, inaua zaidi ya 100% ya ukimwi.
Serikali ilitakiwa ionye watu, izuie mikusanyiko, ijiandae kutibu maana watu watakaoupata ugonjwa ni wengi. Ila serikali ya Tanzania wao wanakwambia nenda kajifukize, hakuna daktari atakwambia ukajifukize ila kwa kua jiwe lilisema kila mtu anakuja na matamko. Swala la corona badala ya kupata ushauri wa madaktari wakuu wa wilaya na madiwani ndiyo wanakuja na njia zao, hizo skills wametoa wapi? Tanzania nchi ya kishenzi sana imejaa washenzi vilaza wengi mno, jiwe mnamuona kama mungu flani hivi kumbe ni mzee moja chizi tu ana phd feki. Subiri mtaona, mtakuja kugundua when it's too late, Tanzania itakua maskini ya kutupwa kuliko zimbabwe.
 
Wanasema corona haipo..kuna changamoto ya upumuaji! Hivi undhani ndugu yako kule sitimbi kijijini bila kumuweka wazi utakua umemsaidia? Tatizo ni kubwa..
 
Mkuu Serikali ilete chanjo watu tuchanje tuonataka na wasiotaka waendelee kujifukiza.

Pia Magufuli aseme covid ipo maana kuna rundo la wajinga wanaamini maneno yake kuwa covid haipo nchini.

Mambo ya tahadhari sote tunajua. Kauli yake ni muhimu kwa sababu kuna wengi hawachukui tahadhari zozote kwa sababu ya kusikiliza kauli zake kuwa hamna covid

Ni hayo tu.
Sema lockdown ianze, tufunge shule na vyuo, kariakoo ifungwe, makanisa na misikiti ifungwe hapo ndipo JPM ataeleweka maana hakuna mishahara tena
 
Nalazimika kuandika mada hii kwa uchungu na hasira kwa sababu mitandao ya kijamii, ikiwemo hii yetu ya JF, imejaa bandiko kuhusu korona (CIVID-19), zikiishutumu Serikali ati kwa kutokuchukua hatua stahiki za kupunguza, kama siyo kukomesha maambukizi.

Nani anahusika na uzembe huo kama siyo sisi wenyewe, wakiwemo waandishi hao wanaoshutumu Serikali na kutia hofu jamii.

Je, tumejiuliza ugonjwa wa UKIMWI, usiokuwa na tiba au chanjo, umeisha? Je, watu hawafi kwa UKIMWI? Je, nani anamsimamia mtu kutumia kinga dhidi ya maambukizi? Je, kuna sheria imetungwa inayolazimisha mtu kutumia kinga wakati wa tendo la ngono?

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imekuwa ikitoa tahadhari na maelekezo dhidi ya magonjwa yanayo ambukiza na yasiyo ambukiza. Wewe na mimi ni kwa kiasi gani tunafuata hayo? Au tunajali tiba kuliko kinga?

JF doctor tusaidie elimu ya kujikinga na magonjwa mbalimbali tuondokane na ujinga huu.

La sivyo, Wajinga ndio waliwao na wataondoka kwa ujinga wao wakidhani wao ni werevu.
Serikali iliacha kuchukua tahadhari zote. Hospitali za serikali hazina vifaa kama oxygen nk. Watu wanakufa sababu serikali ilidharau hili jambo. PELEKA UJINGA WAKO SEHEMU NYINGINE WW
 
Nalazimika kuandika mada hii kwa uchungu na hasira kwa sababu mitandao ya kijamii, ikiwemo hii yetu ya JF, imejaa bandiko kuhusu korona (CIVID-19), zikiishutumu Serikali ati kwa kutokuchukua hatua stahiki za kupunguza, kama siyo kukomesha maambukizi.

Nani anahusika na uzembe huo kama siyo sisi wenyewe, wakiwemo waandishi hao wanaoshutumu Serikali na kutia hofu jamii.

Je, tumejiuliza ugonjwa wa UKIMWI, usiokuwa na tiba au chanjo, umeisha? Je, watu hawafi kwa UKIMWI? Je, nani anamsimamia mtu kutumia kinga dhidi ya maambukizi? Je, kuna sheria imetungwa inayolazimisha mtu kutumia kinga wakati wa tendo la ngono?

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imekuwa ikitoa tahadhari na maelekezo dhidi ya magonjwa yanayo ambukiza na yasiyo ambukiza. Wewe na mimi ni kwa kiasi gani tunafuata hayo? Au tunajali tiba kuliko kinga?

JF doctor tusaidie elimu ya kujikinga na magonjwa mbalimbali tuondokane na ujinga huu.

La sivyo, Wajinga ndio waliwao na wataondoka kwa ujinga wao wakidhani wao ni werevu.
We want vaccines, Approved vaccines.
Hizo vaccines haziuzwi dukani ni mpango na mkakati wa serikali.
Serikali hurumia wapiga na wapigiwa kura..
Hivi Hawa wanatangulia kwa changamoto za kupumua hawajui malimao na tangawizi?
 
Lazima waishutumu. Kama namba moja anazunguka nchi nzima anaweka mikusanyiko, wanashikana mikono hamna kuvaa barakoa, anatangaza kabisa corona iko wapi, mbona sisi tumekusanyika? Anawauliza tena kuna mtu ana corona hapa, watu wanaitikia hakuna!!!

Halafu baadae anawaambia mchukue tahadhari. Tahadhari ya nini. Beleshi liitwe beleshi sio kijiko kikubwa. Ukiita beleshi kijiko kikubwa kuna watu wataamini beleshi ni kijiko kikubwa watakiweka jikoni badala ya kuweka store ya vifaa vya ujenzi.
 
Nalazimika kuandika mada hii kwa uchungu na hasira kwa sababu mitandao ya kijamii, ikiwemo hii yetu ya JF, imejaa bandiko kuhusu korona (CIVID-19), zikiishutumu Serikali ati kwa kutokuchukua hatua stahiki za kupunguza, kama siyo kukomesha maambukizi.

Nani anahusika na uzembe huo kama siyo sisi wenyewe, wakiwemo waandishi hao wanaoshutumu Serikali na kutia hofu jamii.

Je, tumejiuliza ugonjwa wa UKIMWI, usiokuwa na tiba au chanjo, umeisha? Je, watu hawafi kwa UKIMWI? Je, nani anamsimamia mtu kutumia kinga dhidi ya maambukizi? Je, kuna sheria imetungwa inayolazimisha mtu kutumia kinga wakati wa tendo la ngono?

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imekuwa ikitoa tahadhari na maelekezo dhidi ya magonjwa yanayo ambukiza na yasiyo ambukiza. Wewe na mimi ni kwa kiasi gani tunafuata hayo? Au tunajali tiba kuliko kinga?

JF doctor tusaidie elimu ya kujikinga na magonjwa mbalimbali tuondokane na ujinga huu.

La sivyo, Wajinga ndio waliwao na wataondoka kwa ujinga wao wakidhani wao ni werevu.
Unafiki na kujipendekeza ni shida uliyonayo.
Jiulize maswali haya, kuna tofauti gani ya msimamo wa serikali yako kuhusu ugonjwa huu mara ya kwanza na mara hii.
Utapata jibu.
Ni kwanii onyo la Prof wa Open University lilipingwa na Wizara?
Kwanini mikutano ya viongozi wa Serikali yako hawavai barakoa, wakirudi ofisini na majumbani wanavaa?
 
Mbona UKIMWI uliwekewa na bado unawekea mabango kila kona. Kwanini Corona tuibatize jina letu eti nimonia, nimonia inaambukiza?? Sijui magonjwa ya upumuaji, upumuaji upi tena. Mara sijui changamoto za upumuaji, viongozi wakifa kwa Corona watangaze, sio kuficha ficha sijui presha. Watangaze inavyotakiwa na inavyostahili na wakiwaambia watu wachukue tahadhari watachukua inavyostahili.

Wajinga ni wengi nchi hii. Hawa wanaolalamika wana akili timamu na wanafanya kuchukua tahadhari, lakini kwasababu wajinga ni wengi kuliko wenye akili nchi hii ndio maana watu wanaendelea kuipigia kelele serikali, mjinga huyo hata ukimuelimisha atakuuliza mbona Rais anazunguka nchi yote bila barakoa, corona gani tena?

Unadhani Maria Sarungi hachukui tahadhari? Kwahiyo watu wanaitaka serikali iseme bila kigugumizi.
 
Nalazimika kuandika mada hii kwa uchungu na hasira kwa sababu mitandao ya kijamii, ikiwemo hii yetu ya JF, imejaa bandiko kuhusu korona (CIVID-19), zikiishutumu Serikali ati kwa kutokuchukua hatua stahiki za kupunguza, kama siyo kukomesha maambukizi.

Nani anahusika na uzembe huo kama siyo sisi wenyewe, wakiwemo waandishi hao wanaoshutumu Serikali na kutia hofu jamii.

Je, tumejiuliza ugonjwa wa UKIMWI, usiokuwa na tiba au chanjo, umeisha? Je, watu hawafi kwa UKIMWI? Je, nani anamsimamia mtu kutumia kinga dhidi ya maambukizi? Je, kuna sheria imetungwa inayolazimisha mtu kutumia kinga wakati wa tendo la ngono?

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imekuwa ikitoa tahadhari na maelekezo dhidi ya magonjwa yanayo ambukiza na yasiyo ambukiza. Wewe na mimi ni kwa kiasi gani tunafuata hayo? Au tunajali tiba kuliko kinga?

JF doctor tusaidie elimu ya kujikinga na magonjwa mbalimbali tuondokane na ujinga huu.

La sivyo, Wajinga ndio waliwao na wataondoka kwa ujinga wao wakidhani wao ni werevu.
Hujui wajibu wa Serikali? ... mpumbavu wewe!
 
Nalazimika kuandika mada hii kwa uchungu na hasira kwa sababu mitandao ya kijamii, ikiwemo hii yetu ya JF, imejaa bandiko kuhusu korona (CIVID-19), zikiishutumu Serikali ati kwa kutokuchukua hatua stahiki za kupunguza, kama siyo kukomesha maambukizi.

Nani anahusika na uzembe huo kama siyo sisi wenyewe, wakiwemo waandishi hao wanaoshutumu Serikali na kutia hofu jamii.

Je, tumejiuliza ugonjwa wa UKIMWI, usiokuwa na tiba au chanjo, umeisha? Je, watu hawafi kwa UKIMWI? Je, nani anamsimamia mtu kutumia kinga dhidi ya maambukizi? Je, kuna sheria imetungwa inayolazimisha mtu kutumia kinga wakati wa tendo la ngono?

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imekuwa ikitoa tahadhari na maelekezo dhidi ya magonjwa yanayo ambukiza na yasiyo ambukiza. Wewe na mimi ni kwa kiasi gani tunafuata hayo? Au tunajali tiba kuliko kinga?

JF doctor tusaidie elimu ya kujikinga na magonjwa mbalimbali tuondokane na ujinga huu.

La sivyo, Wajinga ndio waliwao na wataondoka kwa ujinga wao wakidhani wao ni werevu.
Kwa sasa ni chanjo, social distancing iliyoratibiwa, uvaaji wa barakoa ulioratibiwa na kujitakasa kulikoratibiwa kama ilivyokua mwaka jana. Ila bila kuratibu na kutegemea nyungu pekee, nadhani tutapoteana, trend kwa sasa inaogofya.
 
Sema lockdown ianze, tufunge shule na vyuo, kariakoo ifungwe, makanisa na misikiti ifungwe hapo ndipo JPM ataeleweka maana hakuna mishahara tena
...kupambana na corona sio lazima kuwe na lockdown kwa inchi kama zetu za dunia ya tatu watu watakufa na njaa ..kikubwa ni serikali kukubali tatizo lipo na kuhimiza watu kuchukua tahadhari kama vile walivyofanya kipindi kile..social distance,vitakasa mikono,maji tiririka sehemu zote za umma na mengineyo ...kwa sababu tukisema kukubali tatizo lipo wataleta hofu kwa jamii hata sasa watu wameanza kupata hofu kwa hivi vifo vinavyofululiza kwa wingi ...na magonjwa ya milipuko ngumu kujikinga peke yako..lazima jamii na serikali vipambane kwa pamoja
 
Back
Top Bottom