makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,022
- 80,684
Atleast Geza Ulole huwa anakuwa na data za mambo haya..Nipo huku Ila kwa jinsi ujenzi unavyoendelea ingawa Mimi si mhandisi Ila ngoma bado mbichi, ningetupia kapicha Ila naogopa kujiingiza matatizoni
Kaka leta taarifa na picha pia.