Recent content by arnoldmoshi

  1. A

    Msaada Chevrolet Cruze

    Naomba msaada kwa anajua sehemu wanazouza spare Mpya za hii gari, Nimekaa na hii gari kwa mda wa Miaka 2, na ndani ya miaka miwili nishatembea zaidi ya Km 100,000. Udhaifu niliyougundua kwenye hii gari ni Drive shaft ( complete ie incl CV Joints) na ball joints zinaisha sana, na nimeshareplace...
  2. A

    mapenzi na mitego yake:

    Punguwani kweli, kama unampenda unafanyanini hko, to a man there is only (YES/NO) chagua moja, with actions.
  3. A

    Mbowe avuka lengo kuchangia msikiti, asisitiza amani, upendo na mshikamano

    vilaza utawajua tu, hebu soma hyo habari mpaka mwisho wapi wamekuambia majira, as a source, mie nimeona ippmedia. na ukiclick on the link inakuonesha source nipashe. acha uvivu.
  4. A

    David Mataka kizimbani

    nashindwa kuelewa dada yangu unasimamiaga upande gani????? total enigma.
  5. A

    Tozo za Mafuta

    i think this might help you, the formular for calculating indicative fuel prices in Dar, Source: Ewura
  6. A

    Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

    Kitendawili...tega... Body language and Action contains more meaning than words themselves... Try to give meaning to these Action...Mzee anavipaumbele vyake...kitaifa na kimataifa....Ni vipi?????????????????????????????
  7. A

    Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

    hapana atakumbukwa na wale aliokua anawapa services zake, na wanao mhusu, and that will be less than 0.05% of Tanzanians and that i cant say ni wengi... Mie sitamkumbuka. kwani ameifanyia jamii nini mpaka mnamweka kwenye front page nakumwandika hvyo as if he is a noble person who deserve...
  8. A

    Dr. Slaa Kulipwa maslahi kama mbunge anastahili?

    Kwani elimu ya jamii sio muhimu katika maendeleo ya jamii?? Dr, yupo kielimu zaidi acha akatoe mchango wake kwenye jamii ambapo nyie vilaza mtakuja kuijua baadae sana coz right now you re too blind to see what's coming.....and tht is your end.
  9. A

    Dr. Slaa Kulipwa maslahi kama mbunge anastahili?

    Nafikiri mnampa dogo publicity isiyokuwa na maana hapa jamvini, naona topic kama tatu hvi zinamwongelea mtu asijekuwa na matazamo wa hoja ya msingi ya kusindana na Dr Slaa, wala hajui matatizo haswa yanayowasumbua wananchi.
  10. A

    Chadema Wafanye Mkutano mkubwa Dar Haraka maana karibia wakamatwe

    I dont get it, hivi hao wanaowasupport chadema kwenye maandamano wote wanaakili mbovu, au wanautindio wa ubongo. and that is something i refuse to belive, but i can belive in majority there are minority who are stupid, they can not reason out and analyze things, wanaleta ushabiki tu. they...
  11. A

    Mwananchi na Clouds

    Huyu jamaa vipi tena, is everything has to be tagged to chadema na Udini???? MWananchi at least linajitaihidi kua objective, na huyu jamaa anaonyesha grievance kwanini hawalisomwi na wanaishia kusoma magazeti mangine anambayo tunajua yako biased...wapi ameongelea chadema, au udini hapo. Upupu wa...
  12. A

    Madai ya mgomo Chuo kikuu Dar hayana upeo mkubwa

    Wewe ni mwizi, with 200000/= hauwezi ukafanya hvyo unavyoclaim umevifanya kwa wakati huu, labda wakati wa nyerere ambapo naweza sema 200000/ equivalent yake wakati huo sasa 1500000/= then i could agree with that sum, unaweza kufanya vitu unavyosema umefanya. Na hyo si tu kwa chakula. if it was...
  13. A

    Will Egypt follow tunisia's lead

    Cairo, Egypt (CNN) -- Thousands of people who filled the streets of Cairo on Tuesday hope their demonstrations against corruption and failing economic policies will cause upheaval in the government, like the similar protests in Tunisia that inspired them. source Will Egypt follow Tunisia's...
  14. A

    2015 wagombea wakiwa Dr. John Pombe Magufuli vs Dr.Wilbrod Slaa utamchagua nani?

    Jamaa hanaporojo, he is consistent with the way he does his things... and definitely it shows kwamba sio mwanasiasa ila ni mtendaji zaidi. Jamaa ni kama mashine...give him the necessary inputs he will deliver what you expect of him. anayajua majukumu yake... he is definitely fit for PM position...
  15. A

    2015 wagombea wakiwa Dr. John Pombe Magufuli vs Dr.Wilbrod Slaa utamchagua nani?

    We need a complete change, we need to overhaul the system completely.. i have deep respect for the Hon Magufuli ila tatizo hata ukimchagua, atawaweka watendaji gani kwenye serikali kama wote CCM asilimia kama 70% ni akina Tambwe hizza. Manaake hata mataani jamaaa wengi hawako objective kazi...
Back
Top Bottom