We, Majimshindo.
Mtu wa ajabu kweli. Unafurahia umeme kukatwa hovyo, bei za umemem kupandishwa 'beyond' uwezo wa walahoi, kuwalipa makampuni hewa hela zetu na maufisadi mengine, asipite mtu wa kujitolea kuwaambia wananchi amkeni kuuliza kulikoni? Weewe ndugu hutaki watu wajue tunapelekeshwa miaka 50 tuna rasilmali kibao lakini bado twabaki mkia wa maskini wa dunia. Aisee futa kauli yako
Mtu wa ajabu kweli. Unafurahia umeme kukatwa hovyo, bei za umemem kupandishwa 'beyond' uwezo wa walahoi, kuwalipa makampuni hewa hela zetu na maufisadi mengine, asipite mtu wa kujitolea kuwaambia wananchi amkeni kuuliza kulikoni? Weewe ndugu hutaki watu wajue tunapelekeshwa miaka 50 tuna rasilmali kibao lakini bado twabaki mkia wa maskini wa dunia. Aisee futa kauli yako