Pole kwa changamoto. Iko hivi.
1. Kama wanatumia dawa kwa usahihi hawawezi kukuambukiza.
2. Huambukizwi UKIMWI unaambukizwa VVU. UKIMWI haumbukizwi ila unaambukizwa VVU. Sasa mtu akiwa na VVU na asitumie dawa ndo anaenda kwenye stage ya kupungua Kinga Mwilini ambayo ndo UKIMWI. Mtu akifika...
Hahahaha India kuna msemo unasema selfies zinauwa watu wengi kwa mwaka kuliko hata cancer. Unakuta mtu anapanda juu ya ghorofa refu kabisa halafu anajininginiza kisha anajipiga selfie ili iende viral au watu wamuulizr ulipigaje hiyo picha.
Mwingine anasimama karibu na mnyama mkali then...
Ignorance is a world phenomenon ila wabongo tunaweza kuwa tunaongoza, wabongo wanapenda bisahana ushindani wa kushinda na kwa kutumia hisia na siyo kwa hoja. Am Tanzanian tena nimezaliwa Muhimbili kabisa, sina haja ya kuku convince wewe uamini au usiamini, I could care less, mngekuwa Migration...
Nigga usinipande kichwani. U say am too young. Maybe I am. Show me ni kitu gani umeona kinachokufanya useme am too youmg for this thread, cauae it seems to me that u re trying to dismiss everything I said with just a blunt statement such as am too young for this thread. Sema hoja yako ya kusema...
Nigga u dont need to stay in Nairobi for thirty years to see their success. Mh point was watu wanabisha bila reference, mwingine aniongelea Nairobi as if ashwahi ku as much as kwenda ila ni kuona tu kwenye Tv na mitandao, mwingine anaongela Dar as if ameshafika while anaiona tu kwenye mitandao...
Mungu awatangulie. Cha muhimu pata sehemu ya QT ambayo iko registeted na inatumbulika. Ikibdi uliza kabisa watu wa kwenye hiyo center ukienda for consultation.
Thats not the point here, the disussion is between Dar and Nairobi, niwe Mtanzani, niwe Mkenya au Mmarekani that is irrelevant ti this topic. Sio kisa Mtanzania basi niseme vitu vya kui favir Tz, hakuna award utapata ukimaliza ku ague hapa na huu si ushindani wa kupata kitu.
#Learn_yourself.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.