Polisi akipokea rushwa live

Polisi akipokea rushwa live

Hahahaha India kuna msemo unasema selfies zinauwa watu wengi kwa mwaka kuliko hata cancer. Unakuta mtu anapanda juu ya ghorofa refu kabisa halafu anajininginiza kisha anajipiga selfie ili iende viral au watu wamuulizr ulipigaje hiyo picha.

Mwingine anasimama karibu na mnyama mkali then najipiga selfie, baadhi wanafanikiwaga na wengine inakuwaga unfortunate. Thats how dare devil mmoja wa China alikufa, because alienda kwenye jengo refu then akajininginiza halagu akashidwa kujirudisha juu tena.

Mh point is, hizi Smartphones zimevunja ndoa nyingi kuliko watu, zimedhalilisha wafu wengi mno. Watu wanafanyaga hivyo ili tuvwapate ujiko na wasifiwe. In the end yanatokea mabaya zaidi.
#The_world_we_live_in.
 
Unatakiwa uwe mjanja, trafic akiomba leseni yako chini yake unaweka elfu kumi then unamkabidhi then kesi yako inakuwa imeisha.
 
Trafik kapewa sh elfu tano ya kubrashia viatu. Na mkuu wa nchi alisharuhusu tuwape pesa ya kubrashia viatu. Sasa sijui atawajibishwa kwa kutumia kipengere gani...
 
Huyo aliyekuwa anarekodiwa naye alitaka mwenyewe, anachekelea ka nini nae!! Wote ni wajinga tuu, huwezi kubali rekodiwa huku ukitoa rushwa!!
 
hivi hii video ina madhara gani kwa wote wawili..mtoaji na mpokeaji?
kwa sirikali hii ya kubana matumiz na kupunguza ajira kwa watumish wa umma, lets just say ina madhara makubwa kwa mpokeaji kuliko mtoaji..

maana wao wana deal nani kapokea mpunga
 
Mpuuzi tu, inabidi atafutwe
Uzuri hakuomba rushwa
 

Katika pita pita nimekutana na hii video ikimuonyesha askari Polisi kijana kabisa akipokea rushwa kutoka kwa dereva wa gari ndogo. Pamoja na hali ilivyosasa lakini mambo bado hayajabadilika. Namshauri Mh. Magu aondoe mifuko kwenye sare zao labda kidogo tutapunguza hili tatizo.

Hiyo ni elfu 5 ya kubrashia viatu tu, mbona unajifanya kipofu kutotaka kuhoji uhalali wa malipo ya tenda na manunuzi mengine ya mashine kubwakubwa kama ndege tunakotajiwa matumizi ya mabilioni?

Yaani nyinyi mnafurahia tajiri azidi kujiongezea kutoka kwa maskini lakini maskini akijiongezea kutoka kwa maskini mwenzake inakuwa nongwa.

Si bora hiyo atabrashia hata viatu kama ilivyo halalishwa kuliko elfu 30 kwa kosa moja pesa ambayo hatuoni faida yake?
 
Wakuu wekeni iyo clip namim niishudie jinsi ya kupokea pesa ya kubrashia
 
Jamaa kiazi kweli.. Sasa hivi ni mwendo wa 30000 mwanzo mwisho. Sasa hapo ulichofaidika ni nn
 
ILISHASEMWA, NI HELA YA KUBRASHI VIATU, sasa sijui wapi wanabrash viatu kwa 30k
 
Alietoa rushwa na aliepokea rushwa wote wanakosa. Huyo jamaa nae atafutwe fala sana
 
nlikuwa DSM mwezi ulopita pale makumbusho askari asbh wanapokea rushwa kila daladala inayoingia kwa kutokea huku mwananyamara tena hadhalani so kuna muda kuwa record inaweza kukuwa ni kujisumbua tuu.....kwa siku wanapikea hata zaid ya mshahara wao

ila walisema ukiona panya anamzomea paka ujue kaona shimo karibu so hata wale polisi/trafic lazima kuna mtu anawalinda

nilim_record bila ya yeye kujua ila baadae alipohisi nitakuwa na madhara kwake akanambia niliposimama si ruhusa so nitoke pale haraka.

huwa wanakuwa wawili mmoja wiki hii akaikaa yanapoingilia yanayotoka mwananyamara mwingne atakuwa kule zinapoingilia za posta

Asilimia kubwa watakao watetea humu ni ambao hawajawah kukutana na matatzo ya hawa watu,ndgu zao au hata wao wenyewe
 
UWEKAJI WA GRISI


Ila huyu kazi ndo basi tenaaa.....................
 
Huyo kaka ni muuaji..
hivi ajira ilivokua ngumu nyakati hizi ukamsababishie mtu akose ajira kwa 5000/10000 hela ya sadaka hio jamani....

kwakweli pamoja na kuwa hajafanya kitendo kizuri kupokea rushwa na kutoa pia...

ila mimi binafsi nmeumia maana hio video ikifika mahala stahiki kaka wa watu kazi hana...
hakuna maisha magumu kama kuwa jobless.....
magari yenyewe ya kibongo makosa kibao
 
Back
Top Bottom